Monday, June 16, 2014

Bao la pili kwa Argentina lilifungwa na Staa Lionel Messi alipowachambua mabeki na kuachia shuti kali kipindi cha pili dakika ya 65, Akipewa pasi safi na Gonzalo Higuaín.  Mchezaji aliyeingia kipindi cha pili akitokea benchi Vedad Ibisevic aliwafunga Argentina bao la kizembe katika dakika ya 84 baada ya wachezaji wa Argentina kupeana pasi hewa hisiyokuwa na macho na hatimaye...

waliotembelea blog