Friday, September 13, 2013

jeri Cox Chastain akikagua baadhi ya vitu vilivyokuwamo ndani ya pochi hiyo.   Vitu visivyouzika ambavyo mwanamke mmoja alipoteza kwa zaidi ya kipindi cha miaka 20 hatimaye vimerejeshwa kwake. Pochi ya rangi ya bluu bahari iliyoibwa Desemba, 1990 kutoka kwa Jeri Cox Chastain, mama aliyekuwa akifanya kazi mbili wakati huo, imerejeshwa katika himaya yake. Msamaria mwema aliiona...
MDOSI au Kanjibai aliyefahamika kwa jina moja la Milah ambaye ni bosi wa kampuni moja ya ujenzi yenye makao yake Mwenge jijini Dar alinaswa chooni akiwa na mfanyakazi wake, John Carlos ‘Shabani’ (watu walimpachika jina la Shabani kutokana na Kanjibai wa kwenye Komedi) ikidaiwa walikuwa katika mazingira ya ulawiti, Ijumaa ‘Kubwa’ lina sinema yote.Ishu hiyo nzito ilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita...

waliotembelea blog