Tuesday, September 22, 2015

Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United Sir Alex Ferguson ambaye alistaafu kuifundisha Man United baada ya kuitumikia kwa miaka 27. Ferguson alistaafu 2013 kukinoa kikosi hicho na kuendelea kusimamia miradi yake binafsi, Ferguson ameeleza sababu za Paul Pogba kuondoka Man United na kutokubali...
Sergio Agüero 9' PEN Kevin De Bruyne 25' R. Sterling 36'V. Mannone (og) 33'Sergio Agüero dakika ya 9 aliifungia bao la kuongoza City kwa mkwaju wa penati dhidi ya Timu ya Sunderla...
5-1Akishangilia moja ya bao zake leo usiku huu Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuipiga vilivyo Wolfsburg Balaa! Lewandowski akishangilia baada ya kuifanyia maajabu timu yake na akitokea benchi Akitupia nyavuni Ndani ya dakika 9 Robert L. alikuwa ameshafunga bao 5 peke yake na kuipa ushindi mnono Bayern iliyokuwa nyumba ya bao 1-0 usiku huu na kuibuka kidedea kwa bao 5-...
Meneja wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson alitaka mshahara wake uongezwe maradufu baada ya mshahara wa Wayne Rooney kuongezwa pakubwa 2010.Rooney alikuwa ametishia kuhama United lakini mwishowe akatia saini mkataba wa kulipwa ujira wa £250,000 kila wiki."Niliwaambia sikudhani ilikuwa haki kwa Rooney kulipwa mshahara mara mbili ya mshahara wangu,” Ferguson amesema kwenye kitabu...
Kampuni ya StarTimes Media ya jijini Dar es salaam leo imeingia mkataba wa udhamini na TFF kudhamini Ligi Daraja la Kwanza nchini (FDL) inayoshirikisha timu 24 kutoka katika mikoa 16 ya Tanzania bara. Akiongea na waandishi wa habari wakai uwekaji sahihi mkataba huo, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi ameshukuru kituo cha Star Times kwa kuamua kuwekeza katika...
Mgombea wa Ubunge anaekubalika na wananchi wa Masasi kupitia Mwamvuli wa Chama cha Wananchi CUF, Ismail Makombe (Maarufu Kundambada), akizungumza machache na wananchi hao waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Boma, leo Septemba 22, 2015. Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Dkt. Emmanuel Makaidi akiwa ameambatana na Mkewe, wakiwasalimia wananchi wa Mji wa Masasi, Mkoani Mtwara leo Septemba 22, 2015....
  ...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi jana amefunga fainali za michuano ya kombe la Airtel Rising Stars katika uwanja Karume jijini Dar es salaam. Akiongea wakati wa ufungaji michuano ya Airtel mbele ya halaiki ya vijana walioshirki michuano hiyo, Malinzi ameishukuru kampuni ya simu ya Airtel kwa kuendelea kudhamini michuano hiyo ambayo inawapa nafasi vijana...
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata. Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha...
 Kiungo mwenye kasi wa PSG, Angelo Di Maria amesema hatashangilia kama atafanikiwa kufunga bao wakati wakivaa Real Madrid. Di Maria ametua PSG akitokea Manchester United ambayo ilimnunua kutoka Real Madrid ambayo sasa wako nayo kundi moja katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Madrid itaanza kukutana na Madrid Oktoba 21 jijini Paris, Ufaranda kabla ya kurudia Madrid...
Mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya wanawake ya England, Danielle Carter amepiga hat trick wakati wakishinda kwa mabao 8-0 dhidi ya Estonia. England imeibutua Estonia kwa mabao 8-0 katika mechi ya kuwania kucheza michuano ya Euro 2017. Katika mechi hiyo iliyopigwa katika dimba la Le Coq Arena, jana usiku, England ilionekana kutawala kila eneo...
RAUNDI ya 3 ya Kombe la Ligi, sasa huitwa CAPITAL ONE CUP, itarindima Jumanne na Jumatano huko England nah ii ndio Raundi ambayo Vigogo wa Ligi Kuu England huanzia. Ingawa baadhi ya Timu za Ligi Kuu England zilianza Raundi ya Pili, wale Vigogo, wakiwemo Mabingwa Watetezi, huanzia Raundi ya 3. Jumanne zipo Mechi 16 za Raundi hii na Jumanne zipo 8 na baadhi yao ni ile Dabi ya Jiji la...
MABINGWA wa Bundesliga Bayern Munich na Vinara wa Ligi hiyo Borussia Dortmund wana Mechi ngumu za Ligi hiyo ya Germany Leo Jumanne na Jumatano Usiku. Jumanne, Bayern Munich wako kwao Allianz Arena kucheza na VfL Wolfsburg ambao wako Nafasi ya 3 baada ya kushinda Mechi 3 na Sare wakiwa na Pointi 11 zikiwa ni Pointi 4 nyuma ya Bayern ambao wako Nafasi ya Pili wakiwa na Pointi 15 sawa na Vinara...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Ndugu Hamis Sued Kagasheki akihutubia kwenye mkutano huo wa kampeni za CCM leo hii jumatatu septemba 21, 2015.Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Ndugu Hamis Sued Kagasheki akiongea na Wananchi wa Jimbo lake la Bukoba Mjini leo. Mgombea Ubunge Bukoba Mjini. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli...

waliotembelea blog