Thursday, March 5, 2015

Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Bw. Ali Nasoro Rufunga kuomboleza vifo vya watu 42  huku wengine 91 wakijeruhiwa usiku wa kuamkia tarehe 4 Machi, 2015. Tukio hilo la kusikitisha limetokea katika kata ya Mwakata iliyoko katika wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali na kuathiri...
Madhara ya mvua hiyo Mbunge wa Jimbo la Msalala Mheshimiwa Ezekiel Maige Kufuatia tukio la kusikitisha na kuhuzunisha lililotokea usiku wa kuamkia Machi 4,2015 huko katika kata ya Mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga la watu 42 kupoteza maisha na wengine 91 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyokuwa imeambatana na upepo na mawe,mbunge wa Jimbo la Msalala kulikotokea tukio...
 Hili jiwe la barafu kama unavyoliona limedondoka kutoka angani wakati mvua ikinyesha.  Haya ni mahindi angalia yalivyofanywa na mvua hiyo ya mawe yakiwa shambani. Mlolongo wa Magari yakiwa katika eneo la tukio mapema leo  Mkuu wa Wilaya ya Kaahama Benson Mpesya Akizungumza na wananchi wa eneo hilo la Mwakata kulikotokea janga hilo ambapo watu 38 wamekufa na...

waliotembelea blog