Staa wa mchezo wa Tennis, Serena Williams na superstaa wa muziki wa Hip hop Drake wamekuwa topic kwenye mitandao mingi baada ya tetesi nyingi kusambaa kuwa wawili hao wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Yote yalianza siku ambayo mapaparazzi walimnasa Drake kwenye picha akiwa kwenye mashindano ya Serena Williams huko Australia… haikuishia hapo,...
Saturday, September 12, 2015


.jpg)
LIGI
KUU VODACOM, VPL [Vodacom Premier League], inaanza Jumamosi kwa Mechi 7
na Jumapili Mabingwa Yanga kushuka Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
kucheza na Coastal Union. Hiyo Jumamosi, Washindi wa Pili wa VPL,
Azam FC, wako kwao Azam Complex, huko Chamazi kwenye Viunga vya Jiji la
Dar es Saalam kucheza na Prisons wakati Vigogo Simba kusafiri kwenda
Mkwakwani, Tanga kuivaa African...


Mabingwa
Watetezi Barcelona na Real Madrid, Wikiendi hii wanarejea tena kwenye
La Liga baada ya kusimama kwa Wiki 2 kupisha Mechi za Kimataifa na wote
wapo Ugenini wakibadilishana Miji ambayo ndio makazi yao. Jumamosi,
Barcelona wako Ugenini huko Jiji la Madrid kucheza na Atletico Madrid
Uwanjani Vicente Calderon wakati Real Madrid wako Jijini Barcelona
kucheza na RCD Espanyol Uwanjani...


Shirikisho
la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa udhamini wa kampuni ya Azam Media
kupitia Azamtv Sports leo wamezindua kombe la Shirikisho
litakalofahamika kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) ambalo litaanza
kutimua vumbi mwezi Novemba mwaka huu kwa kushirikisha timu 64 nchini. Kurudishwa
kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu
nchini baada ya kukosekana kwa...



CHAMA
cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kitatoa tuzo kwa
Rais Jakaya Kikwete pamoja na wanamichezo 10 waliofanya vizuri zaidi
katika miaka 10 akiwa Rais wa Tanzania.
Taarifa
ya Mweyekiti wa TASWA, Juma Abbas Pinto imesema kwamba tukio hilo
ambalo pia litahudhuriwa na Rais Kikwete, litafanyika Oktoba 8, mwaka
huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam likiwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)