Klabu ya Manchester United imeanzisha mazungumzo na ajenti wa Christiano Ronaldo kwa lengo la kumrudisha Old Trafford.Siku za usoni za Ronaldo zimejaa uvumi huku kukiwa na madai kwamba mchezaji huyo hafurahii maisha ya Madrid.Habari
hizo zimeifungua macho United na sasa ripoti nchini Uhispania zinasema
kuwa Manchester United imeanzisha mazungumzo na ajenti wa mchezaji huyo
Jorge Mendes kwa...
Sunday, March 15, 2015



MSIMAMO ULIVYO:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Yanga
16
9
4
3
21
9
12
31
2
Azam FC
16
7
7
2
23
12
11
30
3
Simba
18
7
8
3
22
12
10
29
4
Kagera Sugar
18
6
7
5
15
15
0
25
5
Coastal Union
19
5
9
5
14
13
1
24
6
JKT Ruvu
18
6
5
7
16
17
-1
23
7
Ruvu Shooting
19
5
8
6
13
15
-2
23
8
Mtibwa Sugar
17
5
7
5
17
17
0
22
9
Ndanda FC
18
6
4
8
17
22
-5
22
10
Stand...


Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akipiga mpira
kuashiria ufunguzi wa mashindano ya NSSF Media Cup 2015, yaliyoanza
kulindima katika viwanja vya Sigara, Chang'ombe Dar es Salaam leo
asubuhi. Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akihutubia baada ya kufungua mashindano hayo. Naibu
Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga (katikati), akiwa...



Vijana wa Yamoto Band waikonga mioyo ya mashabiki wao wa Tabata kwa
kupiga show kali sana ndani ya Dar West ikiwa ni wiki moja tu imepita
tangu warejee kutoka UK Londoni ambako walikuwa na Ziara.
Kayumba ni Zao kutoka Mkubwa na Wanawe akifungua show kwa kuimba kabla ya Vijana wa Yamoto Band.
Mwanadada Marope kutoka Mkubwa na wanawe akitoa Burudani katika Ukumbi wa Dar west Tabata jana....


Lionel
Messi akishangilia moja ya bao lake usiku huu ambapo Ushindi huu wa leo
umepatika kupitia kwake kwa bao 2-0 dhidi ya Eibar. Ushindi huu pia
unaipaisha Kileleni kwa kupata pointi 65 mbele ya pointi 61 za Real
Madrid, Valencia CF ndio wanashika nafasi ya tatu wakiwa na pointi 57.
Atlético de Madrid leo wamebanwa mbavu kwa kutoka sare ya 0-0 hivyo
wanashika nafasi ya nne wakiwa na...
Subscribe to:
Posts (Atom)