Friday, June 20, 2014

Warembo wanaowania taji la mkoa wa Tanga, Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakijiaandaa kufanya usafi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, ikiwa ni moja ya kampeni ya kuendelea kulifanya jiji hilo liwe safi muda wote. Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakitupa takataka katika gari maalum la kubeba taka. Mshindi wa kwanza katika shindano hilo atapata zawadi ya gari dogo...
Suarez baada ya kuimaliza England kwa bao 2-1.Luis Suarez akishangilia bao lake baada ya kuifungia Uruguay kwa bao la kichwa katika kipindi cha kwanza dakika ya 39 baada ya kupata ushirikiano mzuri  kutoka kwa Edinson Cavani. Dakika ya 75 Wayne Roone ndie aliyeisawazishia bao England baada ya mabeki wa Uruguay kujisahau na hatimaye Glen Johnson kumsogezea mpira Roone na...

waliotembelea blog