
Warembo
wanaowania taji la mkoa wa Tanga, Nice & Lovely Miss Tanga 2014
wakijiaandaa kufanya usafi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, ikiwa
ni moja ya kampeni ya kuendelea kulifanya jiji hilo liwe safi muda wote.
Washiriki
wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakitupa takataka katika gari
maalum la kubeba taka. Mshindi wa kwanza katika shindano hilo atapata
zawadi ya gari dogo...