MBALI
ya Wachambuzi kukuna vichwa jinsi Louis van Gaal atakavyopanga Kikosi
chake kipya kilichosheheni Majina makubwa, ‘Galacticos’ kama
walivyobatizwa hivi sasa huko Uingereza, sasa pia kumeibuka mjadala
mwingine nani atatwishwa zigo la kupiga Frikiki wakati wa Mechi za
Manchester United. Je ni Angel di Maria, Juan Mata, Wayne Rooney, Robin van Persie au Radamel Falcao?
Wote hao wana...
Friday, September 19, 2014


Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 wametembelea
hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi
kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni warembo hao
wakipiga picha na mdau mkubwa wa masuala ya urembo mkoani Kilimajaro,
Athena Mawalla wa mgahawa wa Meku's Bistro wakati warembo hao
walipomtembelea wakiwa njiani kwenda KINAPA.
Warembo...
Subscribe to:
Posts (Atom)