Gus Poyet kocha mpya Sunderland
KLABU ya Sunderland imemteua Kocha wa
zamani wa Brighton Gus Poyet kuwa Meneja mpya wa Klabu hiyo ya
Sunderland leo Jumatano kuonoa timu kwa miaka matatu.Sunderland,
ambao wako mkiani kwenye Msimamo wa Ligi Kuu England wakiwa na Pointi 1
katika Mechi 7, walimtimua Paolo Di Canio hapo Septemba 22 baada kudumu
kwa Miezi 6 akiongoza Mechi 13 tu.
Klabu
...
Tuesday, October 8, 2013


Sijuhi itakuwaje??
Vincent Kompany, Nahodha wa Manchester
City na Mchezaji wa Belgium, atakuwa nje ya Uwanja kwa Wiki hadi 4 baada
ya kuumia Nyonga kwenye Mechi ya Wikiendi City walipoifunga Everton Bao
3-1. Pia, maumivu hayo yatamfanya akose Mechi muhimu za Man City
ambako yeye ndio nguzo kubwa kwenye Difensi na Mechi hizo ni za Ligi
dhidi ya West Ham, Chelsea na Newcastle,...



Meneja
Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Fimbo Butallah (kulia)
akionyesha fomu za kujiunga na Tamasha la Mitindo kwa Wanafunzi wa Vyuo
vya Elimu ya Juu nchini lijulikanalo kama Redd's Uni-Fashion Bash kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi rasmi Tamasha
hilo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Mahusiano wa
Kampuni hiyo,Edith...


BINGWA
wa dunia wa kanda wa WBF, Fransic Cheka amealikwa wialayani Muheza
mkoani Tanga kwa lengo la kutoa hamasa kwa mchezo wa ngumi wilayani
hapo.Kocha wa Ngumu wa Muheza, Charles Muhiru amesema
wamemualika Cheka wilayani kwao ili kutoa hamasa kwa mabondia wao ambao
nao wana kiu ya kufikia mafanikio ya Cheka.Muhiru alisema kuwa Cheka
atafika Muheza siku ya sikukuu ya pili ya Idd...



M
TANZANIA FOOTBALL FEDERATION VODACOM PREMIER LEAGUE (VPL) 2013/2014
NO. TEAMSPWDLGFGAGDPTS
1Simba SC74301651115
2Young Africans SC7331137612
3JKT Ruvu FC740385312
4Azam FC725096311
5Kagera Sugar FC732285311
6Coastal Union FC725052311
7Mbeya City SC725086211
8Ruvu Shooting FC731375210
9Rhino Rangers FC714278-17
10Mtibwa Sugar FC714258-37
11Tanzania Prisons FC714249-57
12JKT Oljoro FC712448-45
13Mgambo...



Abas
Kinzasa kwa jina la usanii anaitwa 20 Percent akiwa kwenye majonzi
baada ya kufiwa na Baba yake mzazi Mzee Kinzasa aliyefariki juzi siku ya
Jumapili na kuzikwa siku ya Jumatatu kwenye kijiji cha Kimanzichana
kilichopo Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani.
Hapa ndipo alikozikwa Mzee Kinzasa baba mzazi wa 20 Percent aliyefariki siku ya jumapili na kuzikwa siku ya jumatatu kwenye...


Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni,
Tundu Lissu amesema hotuba ya kila mwezi ya Rais Jakaya Kikwete
aliyoitoa siku tatu zilizopita, imejaa maneno mengi ya kuambiwa hasa
kuhusu mchakato wa Katiba Mpya, ikiwa ni pamoja na uteuzi alioufanya wa
wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Akizungumza na waandishi wa habari
jana katika ofisi za makao makuu wa Chadema, Lissu alisema kauli
zilizotolewa...



MCHEKESHAJI mkongwe nchini, Amri Athuman 'King Majuto' ametangaza nia
yake ya kujitosa kwenye siasa akitaka kuwania Ubunge katika Jimbo la
Tanga Mjini katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015.
Akihojiwa na kituo cha Clouds FM, Mzee Majuto mwenye umri zaidi ya miaka
60, alisema Mungu akimjalia atajitosa kwenye ubunge jimboni humo
kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), akidai kiu hiyo imechochewa...


Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga
amewahakikishia Watanzania kuwa uchaguzi wa kupata Kamati mpya ya
Utendaji ya shirikisho utafanyika Oktoba 27 mwaka huu kama ilivyopangwa.
“Wazungu wanasema ije mvua au jua, uchaguzi utafanyika. Isipokuwa
tunachotaka kuhakikisha ni kuwa unakuwa uchaguzi huru na wa haki,”
amesema Rais Tenga wakati akizungumza na waandishi...
Subscribe to:
Posts (Atom)