Na Saleh Ally, Kartepe
Kikosi cha Taifa Stars
chini ya Kocha Mkuu, Charles Boniface Mkwasa, kimeendelea na mazoezi kwenye
moja ya viwanja vya The Green Park Hotel hapa katika mji huu mdogo wa Kartepe,
Uturuki.
Mazoezi
yalikuwa
matamu na hizi ni picha 9 zilizopigwa kutoka mlimani na Saleh Ally
'Jembe' akitumia kamera yake ya kisasa kabisa, zinazoonyesha namna
mazoezi yalivyokuwa...
Thursday, August 27, 2015


Hi
Miaka 35 iliopita nikiwa na umri mdogo sana. Wakati
huo nikisoma nursery kwenye skuli ya Tanganyika... Nna kumbukumbu ya nusunusu
juu ya pengine mchezo wangu rasmi wa kwanza kushuhudia wa timu ya taifa ya
Tanzania ambayo ilikuwa ikicheza na nchi ya Nigeria (Green Eagle's).
Nimeita kumbukumbu
nusunusu sababu ya umri mdogo niliokuwa nao wakati huo. Lakini ktk nusu...


Kikosi cha wachezaji 22 wa timu ya Taifa ya vijana
wenye umri chini ya miaka 15 (U-15) kilichopo kambini mjini Morogoro,
kimeendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya kombaini ya
Morogoro mwishoni mwa wiki.
U-15 inayonolewa na kocha Bakari Shime, imeingia
kambini mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya vijana hao kukutana kila mwisho wa
mwezi na kucheza michezo ya...


Wakati
Simba ikiwa kambini Zanzibar, watani wao Yanga nao wameamua kwenda
visiwani humo kwa kambi ya mwisho kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara.
Hilo
limezua mjadala kwa nini timu hizo kongwe zenye upinzani mkubwa
zimeamua kufuatana Zanzibar na imekuwa ikionekana kama huko ni maeneo ya
Simba.
Mkurugenzi
wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro amezungumza na SALEHJEMBE
...


Mwezi April kulitokea tetemeko la ardhi Nepal, tetemeko
ambalo liliua watu wapatao 9,000. Miongoni mwa watu waliokuwa wahanga
wa tetemeko hilo ni kijana mwenye umri wa miaka 13 Jetin Shrestha ambaye wakati tukio hilo likitokea kijana huyo alikuwa akicheza mpira.
August 27 Cristiano Ronaldo karudi tena kwenye headlines na hii baada ya zile headlines za kutoa msaada wa maafa...


Mshambuliaji wa kimataifa wa Italia Mario Balotelli
ambaye huwa ni kawaida kuwa katika headlines mbalimbali kutokana na
tabia yake na matukio yake ambayo anafanya, August 27 kaongea sababu
zilizomfanya asifanye vizuri akiwa Liverpool.
Balotelli alikuwa na maisha magumu Liverpool kwani msimu uliomalizika aliishia kucheza mechi 16 na kufunga goli moja pekee. Balotelli analaumi mbinu za kocha...


Klabu ya Manchester United bado inasaka nyota kadhaa watakaojiunga na kikosi chao ili kuweza kuongeza nguvu na kucheza kwa kiwango cha juu. Man United ambayo kwa hivi karibuni ilimkosa Pedro Rodriguez baada ya kocha wa Chelsea Jose Mourinho kumpigia simu na kumshawishi ajiungea na Chelsea.
Sasa Man United wamerudi tena katika klabu ya FC Barcelona
ila safari hii wanahitaji kumsajili nyota ambaye...



HAPA ALIAMUA KUJIFUA NA TIMU YA RUGBY ILI KUJIWEKA FITI ZAIDI.
Mtanzania Emily
Mgeta sasa anajiandaa kuendelea kupasua anga katika soka la Ujerumani akiwa na
kikosi chake cha Neckarsulmer.
Neckarsulmer inashiriki daraja la tano na Mgeta anaonekana taratibu kujihakikishia
namba katika kikosi cha kwanza na wikiendi hii wanatarajia kucheza dhidi ya Schwäbisch Hall.
“Kweli tutacheza
na...



Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia umati
wa wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM, uliofanyika leo
katika stendi ya daladala maarufu kwa jina la Samunge, jijini Arusha
leo
Sehemu ya umati wa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo jijini Arusha leo
Naibu
Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu akimuombea...


Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar
es Salaam)-Ile shoo kubwa yamaonyesho ya mavazi ubunifu ya Tanzania
katika kuibua vipaji vya wanamitindo chipukizi na models lililoandaliwa
na kampuni ya Crown River Fame likijulikana kama Sanaa Fashion Show,
linatarajia kufanyika Ijumaa hii ya Agosti 28, ndani ya ukumbi wa Mbezi
Garden Hotel, ambapo pia kutakuwa na shoo kabambe kutoka kwa...


Baadhi
ya ndugu, jamaa na marafiki wa Mshindi wa Shindano la TMT 2015
#mpakakieleweke Dennis Lwasai wakiwa na bango linalomwelezea mahindi
huyo wakati walipojitokeza kumpokea wakati akirejea nyumbani kwao
Mambogini Moshi.
Mshindi
wa TMT 2015 #mpakakieleweke Dennis Lwasai akiwasalimia wakazi wa mji wa
Moshi waliokuwa wakimpongeza wakati akirejea kwao Mambo
Wakiendelea...
Subscribe to:
Posts (Atom)