
Waziri
Wizara ya Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jumanne Maghembe (mbele
kulia) akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Selestine
Gesimba wakati wa mapokezi yake leo tarehe 28 Desemba 2015 katika ofisi
yake mpya Mpingo House mara baada ya kuapishwa Ikulu mapema asubuhi ya
leo. Nyuma yake kulia ni naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Eng. Ramo
Makani...