Monday, December 28, 2015

  Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jumanne Maghembe (mbele kulia) akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Selestine Gesimba wakati wa mapokezi yake leo tarehe 28 Desemba 2015 katika ofisi yake mpya Mpingo House mara baada ya kuapishwa Ikulu mapema asubuhi ya leo. Nyuma yake kulia ni naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Eng. Ramo Makani...
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake - ‘NINGEFANYAJE’, muimbaji wa R&B kutoka Tanzania, Bernard Paul  maarufu kama Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji  Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo,  kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya. Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin...
Nemanja akimiliki mpira dhidi ya Morgan wa Manchester UnitedGiggs na Van GaalMeneja wa Chelsea GuusSir Alex Ferguson Selfie...John Obi alioneshwa kadi ya Njano Kipa de Gea akiokoa mpira langoni mwakeMashabiki ndani ya Old Trafford wameshuhudia kwa mara ya kwanza Man United ikitawala na kutandaza Soka safi lakini kushindwa kufunga na kupata ushindi baada ya kutoka 0-0 na Mabingwa Watetezi...
Kona ya Mesut Ozil ikiunganishwa na Kichwa cha Gabriel na Bao la Ozil limewapa Arsenal ushindi wa Bao 2-0 walipocheza na Bournemouth Uwanjani Emirates na kutwaa uongozi wa Ligi Kuu England. Uongozi huu wa Arsenal unaweza kudumu hadi Jumanne Usiku wakati Leicester City, wakiwa Nyumbani, watacheza na Man City na ushindi kwao utawatoa Arsenal kwenye usukani. Gabriel Paulista...
...

waliotembelea blog