...
Saturday, August 23, 2014


Angel
di María na Sami Khedira ni wazi sasa wako mguu mmoja nje ya Real
Madrid baada ya kutupwa nje ya Kikosi kilichoteuliwa kuivaa Atletico
Madrid Ijumaa Usiku huko Estadio Vicente Calderon kwenye Mechi ya
Marudiano ya Supercopa de Espana ambayo Real walichapwa 1-0.Awali
wote wawili walitajwa kwenye Kikosi cha Wachezaji 22 kwa ajili ya Mechi
hiyo na Atletico Madrid kwa mujibu...


Aston Villa na Newcastle zimetoka Sare ya 0-0 kwenye Mechi ya kwanza ya Ligi Kuu England iliyochezwa Villa Park hii Leo.Newcastle
walimaliza Mechi hii wakiwa Mtu 10 baada ya Mike Williamson kupewa Kadi
ya Njano katika Dakika ya 86 na Dakika 4 baadae kupewa Kadi ya Njano ya
pili na kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu.Mashabiki wa Newcastle United wakipamba Mechi yao.Kocha wa England Roy nae alikuwa...


Kocha mkuu wa Yanga sc (katikati), Mbrazil Marcio Maximo amewasili kisiwani Unguja kuendelea kuiwinda ligi kuu Tanzania bara
Na
Baraka Mpenja
BAADA
ya kukamilisha programu ya mazoezi ya siku tano kisiwani Pemba, kikosi cha
Yanga kimewasili kisiwani Unguja (Zanzibar) tayari kwa kumalizia siku nyingine tano
zilizosalia.
Yanga
imeweka kambi ya siku 10 Zanzibar na tayari imekata tano ikiwa...


+6
Maajabu:Kiungo wa Wolfsburg, Junior Malanda alikosa bao la wazi dhidi ya Bayern Munich jana usiku.
NYOTA wa Wolfsburg, Junior Malanda ameingia kwenye rekodi ya kukosa bao la wazi zaidi na kusababisha timu yake kufungwa.
Wakikabiliana na mabingwa watetezi,
Bayern Munich katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga, kiungo huyo wa
ulinzi mwenye miaka 19 alishindwa...



Simba itarudia rekodi ya 1993 barani Afrika?: Rais wa Simba sc, Evans Elieza Aveva anaaminiwa kurudisha heshima ya klabu hiyo.
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
0712461976
MZAMBIA Patrick Phiri huwezi kuthubutu kumdharau
hata kwa dakika moja, hakika ni miongoni mwa makocha wa kigeni waliopata
mafanikio makubwa wakifundisha klabu za ligi kuu soka Tanzania.
Phiri ni kocha mwenye heshima...



Free
agent Georgios Samaras took his two-footed talent to West Brom, signing
a two-year contract with them. I don’t know why Celtic failed to offer
him new terms at the end of his contract. He was very helpful to the
team.Nonetheless, welcome to the Premiere League. Can’t wait to show you around tow...
Subscribe to:
Posts (Atom)