Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na Tundu Lissu.
Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini (NEC) imewataka wananchi kutosimama
katika vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura oktoba 25
kufuatia viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kuwataka
Wananchi kukaa umbali wa mita 100 umbali unaokubalika kisheria baada ya
kupiga kura ili wazilinde kura zao.
Kwa mujibu...
Thursday, October 8, 2015



Yale yake unaweza kusema
hivyo baada ya mchezaji wa timu ya taifa ya mchezo wa raga ya Afrika Kusini
kumng’ata mwenzake.
Kupitia picha iliyopigwa
na Kevin Quigley, inaonyesha mchezaji wa Afrika Kusini ‘Springboks’, Frans
Malherbe akididimiza meno yake kwneye bega la Matt Trouville wa timu ya taifa
ya Marekani wakati wakiwania mpira.
Usisahau, siku chache...


Mshindi
wa jumla wa shindano la Serengeti Masta Said Kanolo (katikati)
akifurahi na wadau wa bia ya Serengeti Premium Lager, wakati wa shindano
la mwisho la Serengeti Masta kwa wateja wa kanda ya ziwa lililofanyika
katika baa ya Shooters iliyopo barabara ya Airport jijini Mwanza.
Kampeni hiyo ya Serengeti Masta imedumu katika kanda hiyo kwa takriban
muda wa miezi (2) sasa ikiwakutanisha...



Mwanamziki
wa Uingereza,Arjun Coomeraswamy akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani)juu ya ujio na kukutana na watu mbalimbali katika
Ukumbi wa Viva Tower jijini Dar es Salaam na Jumamosi atafanya shoo
Zanzibar katika ukumbi wa Kendwa Rocks Beach Resort iliyofanyika leo
katika ukumbi wa New Afrika jijini Dar es Salaam.
Mkuu
Kitengo wa kinywaji cha...


Masaa machache baada ya Rais wa FIFA Sepp Blatter kusimamishwa kuliongoza shirikisho hilo, kiongozi wa shirikisho la soka Afrika Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho hilo kwa muda.
Hayatou atachukua nafasi hiyo kufuatia kusimamishwa kazi kwa Rais wa
FIFA Sepp Blatter kwa muda wa siku 90 na Kamati ya Maadili ya shirikisho
...


Lionel
Messi na Neymar, watakuwa nje wakati Nchi zao Argentina na Brazil
zikianza Mechi zao za kwanza za Kanda ya Nchi za Marekani ya Kusini
kusaka nafasi za kucheza Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2018 huko
Russia hapo Alhamisi. Messi ataikosa Messi ya Argentina na Ecuador
kwa vile ni majeruhi wakati Neymar ataikosa Mechi ya Nchi yake Brazil
ikicheza Ugenini na Chile zikiwa ni Mechi...


TIMU
ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo imetakata baada ya kuifunga
Malawi `The Flames’ kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za
Kombe la Dunia uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Mabao
ya Taifa Stars yalifungwa na wachezaji wa Tanzania wanaocheza soka la
kulipwa TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mbwana Samatta
na Thomas Ulimwengu.
Mabao yote...


STRAIKA
Chipukizi wa Manchester United Anthony Martial ameteuliwa kuwa ndio
Mchezaji Bora wa Mwezi Agosti/Septemba katika Ligi Kuu England na kuzoa
Tuzo ya PFA ya Mashabiki. PFA [Professional Footballers Association] ni Chama cha Kutetea Hakika Wachezaji wa Kulipwa wa Soka huko Uingereza. Martial,
mwenye Miaka 19, alijiunga na Man United katika Siku ya mwisho ya
Dirisha la Uhamisho, hapo...
Subscribe to:
Posts (Atom)