Meneja
wa Manchester United Loius van Gaal amemvua jukumu la kupiga Penati
Robin van Persie baada ya Jumamosi kukosa kufunga Penati na Timu yake
kuchapwa 1-0 na West Bromwich Albion. Alipohojiwa ikiwa Van Persie ataendelea kuwa chaguo la kwanza la upigaji Penati, Van Gaal alijibu: "Hapana. Sasa ni mwisho." Aliongeza: "Siku zote ni hivyo. Wayne Rooney alishawahi kukosa na ukikosa unarudi...
Monday, May 4, 2015



Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platinumz ambaye ni balozi wa
Mziiki ambayo ni program ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom
Tanzania akiimba jukwaani Zari White Party iliyofanyika Mlimani City
jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. App hiyo inawaletea
wateja burudani ya muziki kiganjani. Picha zote na BAZIRA.COM
Mchumba wa msanii wa muziki wa kizazi kipya,...
Subscribe to:
Posts (Atom)