
Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni.
Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete
alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani
Kagera Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati...