Friday, July 26, 2013

Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni. Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati...
Rais Kikwete aliongoza watanzania Nchini kuhudhuria maadhimisho ya mashujaa waliopigania vita vya ukombozi dhidi ya majeshi ya uvamizi ya Nduli Idd Amini mwaka 1978/79, maadhimisho yaliadhimishwa katika kambi ya jeshi JWTZ Kaboya wilayani Muleba. Viongozi mbalimbali Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao/sime katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika...
...

waliotembelea blog