Tuesday, December 17, 2013

 Kila mtu anaithamini na kuipenda tarehe ya siku  yake ya kuzaliwa,ni siku ambayo baadhi yetu huifurahia kwa  mitindo tofauti tofauti kulingamna  na nafasi aliyonayo mtu husika,lakini hebu  jiulize how it feels ndani ya hiyo siku mhimu kabisa  unapofanyiwa kitu kizuri na cha pekee na mtu  mhimu maishani mwako,inapendeza...
Habari zimetujia sasa hivi zinasema abiria kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli  Mh Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuwa pasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika uwanja wa Arusha leo mchana.  Ndege hiyo ya shirika la ndege la precision aina ya ATR ilipata ajali hiyo wakati...
Mwanamuziki Fid Q akizikonga nyoyo za mashabiki wa Mwanza   Young Killer Young Killer akifanya makamuzi ya nguvu ndani ya CCM Kirumba jana. H-Baba akikamua katika Tamasha kubwa la Ujasiriamali uko mwanza ...H-baba akiwasalimia mashabiki Msanii Jitaman  akifanya yake jukwaani jijini mwanza Mkurugenzi wa Global Publishers na Street University, Eric Shigongo    Mbunge...
...
Chelsea na Manchester City leo zimeshinda Mechi zao za Ligi Kuu England walizocheza Nyumbani na kuikaribia Arsenal ambao wapo kileleni na pia kuishusha Liverpool iliyokuwa Nafasi ya Pili na kuitupa Nafasi ya 4. Wakati Liverpool hii leo ikichapwa Bao 3-1 na Hull City, Chelsea ilishinda kwake Stamford Bridge kwa kutoka nyuma kwa Bao 1-0 hadi Haftaimu na kuifunga Southampton Bao 3-1. Bao...

waliotembelea blog