Kila mtu anaithamini na kuipenda tarehe ya siku
yake
ya kuzaliwa,ni siku ambayo baadhi yetu huifurahia kwa
mitindo tofauti
tofauti kulingamna
na nafasi aliyonayo mtu husika,lakini hebu
jiulize
how it feels ndani ya hiyo siku mhimu kabisa
unapofanyiwa kitu kizuri na
cha pekee na mtu
mhimu maishani mwako,inapendeza...
Tuesday, December 17, 2013



Habari
zimetujia sasa hivi zinasema abiria kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu
na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya
ndege waliyokuwa wakisafiria kuwa pasuka matairi yote manne ya nyuma
wakati ilipokuwa ikitua katika uwanja wa Arusha leo mchana.
Ndege
hiyo ya shirika la ndege la precision aina ya ATR ilipata ajali hiyo
wakati...


Mwanamuziki Fid Q akizikonga nyoyo za mashabiki wa Mwanza
Young Killer
Young Killer akifanya makamuzi ya nguvu ndani ya CCM Kirumba jana.
H-Baba akikamua katika Tamasha kubwa la Ujasiriamali uko mwanza
...H-baba akiwasalimia mashabiki
Msanii Jitaman akifanya yake jukwaani jijini mwanza
Mkurugenzi
wa Global Publishers na Street University, Eric Shigongo
Mbunge...


Chelsea
na Manchester City leo zimeshinda Mechi zao za Ligi Kuu England
walizocheza Nyumbani na kuikaribia Arsenal ambao wapo kileleni na pia
kuishusha Liverpool iliyokuwa Nafasi ya Pili na kuitupa Nafasi ya 4.
Wakati Liverpool hii leo ikichapwa Bao
3-1 na Hull City, Chelsea ilishinda kwake Stamford Bridge kwa kutoka
nyuma kwa Bao 1-0 hadi Haftaimu na kuifunga Southampton Bao 3-1. Bao...
Subscribe to:
Posts (Atom)