Mapema
wiki hii millardayo.com iliandika stori ya ajali ya lori la mafuta kuua
zaidi ya watu 90 Nigeria ikiwa ni baada ya kuwa kwenye mwendo mkali na
kugonga watu na magari yaliyokuwa kwenye kituo cha abiria.
Muonekano wa kituo cha mafuta baada ya kulipuka
Lakini
leo Ghana nayo imeingia kwenye headlines baada ya kituo cha mafuta
kulipuka na kuua watu wanaokadiriwa kuzidi 90 katika...
Thursday, June 4, 2015


Kocha
msaidizi wa Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Salum Mayanga, (kushoto)
akiongea na wandishi wa habari leo. Katikati ni kocha Taifa ya Tanzania
(Taifa Stars) Mart Nooij na kulia ni kocha msaidizi wa Taifa stars,
Mecky Mexime. KOCHA wa timu ya
Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mart Nooij, amesema atatumia kambi ya
Ethiopia kujiandaa na mchezo wa Misri kwani vijana wapo katika hali
nzuri...


Steve McClaren anatarajiwa kuthibitishwa kuwa Meneja mpya wa Klabu ya Ligi Kuu England Newcastle Wiki ijayo. McClaren,
mwenye Miaka 54, ni Meneja wa zamani wa England na pia aliwahi kuwa
Meneja Msaidizi chini ya Sir Alex Ferguson huko Manchestet United. Mwezi uliopita McClaren alutimuliwa kama Kocha wa Derby County inayochezea Ligi ya chini Championship. Mara
mbili McClaren amewahi kuigomea...


Barcelona na Juventus Wikiendi hii mojawapo inaweza kuwa Klabu ya 8 Barani Ulaya kutwaa Trebo. Huko
Ulaya Klabu inayofanikiwa kuwa Bingwa wa Nchi yake na pia kutwaa Kombe
la Nchi hiyo na kisha kufanikiwa kubeba Kombe la UEFA CHAMPIONS LIGI
kwenye Msimu mmoja huo huo husemwa imetwaa Trebo. Hivi
karibuni Barcelona waliifunga Athletic Bilbao kwenye Fainali na kubeba
Copa del Rey na hiyo inafuatia...


Shirikisho
la Mpira wa Miguu nchini TFF leo limezindua jezi mpya za timu za Taifa,
zitakazokuwa zikitumika na timu za Taifa katika michuano mbali mbali
itakayokua inazikabili. Uzinduzi huo wa jezi mpya uliofanyika katika
ukumbi wa Kilimanjaro jengo la Golden Jubilee uliambatana na uziduzi wa
tovuti mpya ya shirikisho, uliongozwa na mgeni rasmi Mh. Said Mtanda,
mbunge wa jimbo la Mchinga...


MATUKIO YA MAZISHI YA MHE. SAMWELI NTAMBALA LWANGISA LEO JUMATANO JUNI 3, 2015 KITENDAGURO-BUKOBA. MAMIA WAJITOKEZA KUMUAGA!
Na Faustine Ruta, BukobaMamia ya Waakazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake
wakiwemo na Wageni mbalimbali kutoka nje ya Mkoa huu na nje ya Nchi
wamejitokeza kwa wingi kumzika marehemu Samuel Luangisa leo Jumatano
juni 3, 2015 nyumbani kwake Kitendaguro nje kidogo na...
Subscribe to:
Posts (Atom)