Thursday, October 1, 2015

Mchezaji soka mmoja nchini Uingereza amefungwa jela mwaka mmoja kwa kosa la kumvunja mguu mchezaji wa klabu pinzani kwa kumkanyaga mara kadha wakati wa mechi.Nathaniel Kerr, 24, alikiri mashtaka mbele ya hakimu katika mahakama mjini Manchester, Uingereza.Mchezaji aliyeumizwa Stuart Parsons, 30, alikuwa akijibizana na mmoja wa mchezaji mwenzake Kerr kwenye mechi ya ligi ya Sunday muda...
Msanii vichekesho, Tausi akizungumza na wana Igunga katika mkutano wa kampeni zizoendelea mjini humo. Msanii Kupa akiwa amembeba msanii wa vichekesho, Tausi huku Msanii Ndede akipunga mkono kuwasilimia wana Igunga mara baada ya kuwasili mjini hapo kwa shuguli za Kampeni. Msanii Kajala akitoa ishara ya Gole Gumba kama alama ya CCM kwa wakazi wa mji wa Igunga alipoitwa jukwaani...
Mcheza tennes maarufu duniani kwa ubora Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan baada ya kuumia na tayari alikuwa ni majeruhi. Nyota...
Hii imekuwa kawaida kwa wanasoka wengi barani Ulaya kupenda kununua magari ya kifahari kutokana na mahitaji yao lakini hii huchangiwa na mishahara yao mikubwa wanayolipwa na vilabu vyao. Mapema mwaka 2015 tuliona nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry alionesha gari lake jipya. October...
September 10 mwaka huu alinukuliwa Rais wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Florentino Perez kuhusiana na stori za klabu ya PSG ya Ufaransa kuhitaji kumsajili Cristiano Ronaldo akitokea Real Madrid. Rais wa Real Madrid alidaiwa kukataa kabla ya siku hiyo kukubali kuwa Ronaldo anaweza kuuzwa...
Kwenye Listi ya FIFA ya Ubora Duniani iliyotolewa Leo, Argentina wamebakia Namba 1 huku Mabingwa wa Dunia Germany wakipanda na kukamata Nafasi ya Pili wakati Tanzania imebaki pale pale Nafasi ya 140. Kwenye 10 Bora, Belgium imeshuka na kushika Nafasi ya Tatu, Portugal wamepanda hadi Nafasi ya 4 na Spain kurudi 10 Bora baada ya Miezi Mitatu na sasa wapo Nafasi ya 6 baada kupanda...
Meneja biashara wa kitengo cha  Airtel Money,  Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya  shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima.  Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde KAMPUNI ya simu za mkononi ya...
Stori nyingi na matukio mengi tumewahi kuyasikia na kuyaona yakitokea uwanjani kama wachezaji kuvunjana miguu, kuanguka na kupoteza fahamu wakati mwingine hata kupoteza maisha uwanjani. Matukio yote hayo tumekuwa tukiyaona yakimalizika uwanjani au adhabu hutolewa na Shirikisho au kamati...
Licha ya kuwa ugenini, Benfica imefanikiwa kuitwanga Atletico Madrid kwa mabao 2-1 ikiwa nyumbani kwao Madrid, Hispania. Kikosi hicho cha Ureno kilionyesha soka safi na kushinda mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, hali iliyoonyesha kuwaudhi sana mashabiki wa A. Madrid. Siku moja kabla, wapinzani wakubwa wa Benfica, FC Porto walifanikiwa pia kupata ushindi kama huo katika Ligi ya Mabingwa...

waliotembelea blog