Wednesday, September 3, 2014

Waswahili hawaishiwi vioja kwa tungo, nahau, mafumbo, methali hata vitendawili. Yote yanaakisi maisha ya jamii pana inayotuzunguka. Kwa leo nimeguswa na msemo usemao, nabii hakubaliki kwao. Nimesimama peke yangu nikiamini kuwa wapo manabii ambao wanakubalika...
Continho,jaja kuonyesha vitu uwanja wa taifa leo Na Victor Simon- Mjengwabolg Timu ya soka ya Yanga siku ya leo inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na timu ya Thika United ya nchini Kenya,kwenye mchezo wa kujipima ubavu. Mchezo huo ni maandalizi ya ligi kuu...
   Keki ndio hii hapa sasa ...
UHAMISHO uliochelewa wa Kiungo wa Manchester United Tom Cleverley kwenda Aston Villa kwa Mkopo wa Msimu mmoja umebarikiwa hii Leo wakati Lejendari wa Man United David Beckham amesikitishwa kuondoka kwa David Welbeck kutoka Man United kwenda Arsenal. Dirisha la Uhamisho lilifungwa rasmi Jana Usiku lakini Uhamisho wa Cleverley ulichelewa lakini hivi sasa Bodi ya Ligi Kuu imeubariki. Makubaliano ...
Manchester United imekubaliana na AS Monaco ya France kumsaini Straika wa Colombia Radamel Falcao kwa Mkopo na wakati huo huo Straika wao Javier Hernandez anahamia Real Madrid ya Spain pia wa Mkopo. Falcao anatarajiwa kuwasili Jijini Manchester kupimwa afya yake na tayari Chicharito nae yuko huko Madrid kupimwa afya. Falcao alijiunga na AS Monaco Mei 2013 kwa Dau la Pauni Milioni 50 kutoka...
Manchester United imetangaza kumsaini Mchezaji wa Kimataifa wa Netherlands Daley Blind kutoka Ajax kwa Dau la Pauni Milioni 14. Blind, ambae ndie Mchezaji Bora wa Mwaka wa Netherlands, anaungana tena na Meneja wa Man United Louis van Gaal ambae walikuwa pamoja huko Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia wakati Van Gaal ni Meneja wa Netherlands na kufika Nusu Fainali. Staa huyo mwenye Miaka...

waliotembelea blog