MENEJA
wa Liverpool Jurgen Klopp yupo hatua za mwisho kukamilisha usajili wake
wa kwanza wa Mchezaji mpya na huyo ni Marko Grujic. Grujic, mwenye
Miaka 19, Leo ametua Anfield kwa upimwaji wake wa afya ili kukamilisha
Dili ya Pauni Milioni 5.1 kutoka Red Star Belgrade.Inatarajiwa
baada ya kukamilika kwa Uhamisho wake kwenda Liverpool, Kinda huyo
atarudi kuichezea kwa Mkopo Red...
Tuesday, January 5, 2016


Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Jerome Valcke asimamishwe kujihusisha na mchezo wa soka kwa miaka tisa.
Katibu huyo anadaiwa kutumia vibaya pesa ikiwemo uuzaji wa tiketi za
kombe la duniani lililopita pamoja na kukiuka...


Mshambuliaji wa klabu ya Manchester united Wyne Rooney ametangazwa kuwa mchezaji bora kwa mwaka 2015 kwa mara nyingine.
Hii inakuwa mara ya pili staa huyo wa England
kuchaguliwa mchezaji bora na mashabiki wa ligi kuu baada ya mwaka 2014
kushinda pia mwaka 2008 na 2009.
Pia kipa wa Stoke City Jack Butland amechaguliwa kuwa kipa bora kwa...


Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola December 29 aliingia kwenye headlines baada ya kutua Kenya kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christimas na mwaka mpya, ujio wake Kenya uliwashangaza wengi kutokana na kuja kimya kimya. Ninazo pichaz za Pep Guardiola akitalii...
Subscribe to:
Posts (Atom)