Mwigizaji
wa Origino Komedi ,Mjuni Sylivery(Mpoki,nyani Mzee),akipewa maelekezo
ya kuendesha Trekta mara Baada kukabidhiwa ufunguo wake na Fundi
Mkuu wa Kampuni ya Farm Equip Tanzania , Yunusu Nsekela wakati wa
kukabidhiwa Matrekta kwaajili ya kilimo jijini Dar es Salaam leo
Mwakilishi
wa muigizaji Josef Shamba(Vengu),ambaye hakuweza kufika kupokea Trekta
lake...
Thursday, May 28, 2015


Chuck Blazer alikuwa mjumbe wa kamati tendaji ya FIFA wakati alikuwa
akifanya udukuzuzi kwa niaba ya FBI katika Shirikisho la Soka Dunia Fifa
kwa kipindi cha miaka miwili.Kashfa
za rushwa zinazoelezwa kwa kiasi kikubwa katika Shirikisho la Kandanda
Duniani FIFA, zilizotolewa Jumatano asubuhi wiki hii baada ya kukamatwa
kwa maofisa saba wa Shirikisho hilo, ni za muda mrefu. Kwa
mujibu...


KUFUATIA
mafanikio makubwa yaliyopatikana katika Msimu wa Pili wa Coke Studio
Africa, Kampuni ya Coca-Cola kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la
Kenya, inayo furaha kutangaza kuanza tena msimu wa tatu wa burudani ya
muziki maarufu kwa jila la Coke Studio Africa. msimu huu utajumuisha
wanamuziki wakali 26 barani Afrika huku nyimbo mpya 52 kutumbuizwa
ikiambatana na maonyesho 9 ya wanamuziki...


Straika wa Sevilla Carlos Bacca akiifungia bao la Ushindi kipindi cha pili dakika ya 73
Juhudi binafsi za Bacca zilimfanya aifungie bao mbili na Kipa wa Dnipro
Denys Boyko Pamoja na kuwa kulilinda vyema lango lake hakuona ndani bao
la mwisho la Bacca.
Bacca akishangilia
Carlos Bacca akiomba mara baada ya kufunga bao mbele ya wapiga picha pembeni ya Uwanja
Mchezaji...



FIFA
imesema Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho hilo utaendelea Ijumaa licha ya
Maafisa wao 7 kukamatwa na Polisi kwa tuhuma za kupokea rushwa ya zaidi
ya Dola 150 Milioni.
Ijumaa Kongresi ya FIFA inapiga Kura za
Uchaguzi wa Rais ambapo Rais wa sasa, Sepp Blatter, anawania kiti hicho
kwa mara ya 5 huku akikabiliwa na Mpinzani mmoja, Mwana wa Mfalme Ali
bin al-Hussein kutoka Jordan. Maafisa...


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa
Mkutano mkuu wa Chama Cha Waalimu TANZANIA( CWT) uliofanyika katika
hoteli ya Ngurdoto nje kidogo ya mji wa Arusha jana.Wakati wa mkutano
huo wanachama wa CWT ulitarajia kuwachagua viongozi wapya wa chama
Hicho.Akizungumza katika mkutano huo Rais Kikwete ameahidi kutatua
changamoto moto mbalimbali zinazowakabili waalimu...


YAMOTO BAND, MASHAUZI KUWASHA MOTO MANGO GARDEN
KWA
mara ya kwanza baada ya miaka mingi, ukumbi wa Mango Garden, ulioko
Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kupitisha wikiendi bila burudani
yoyote, leo usiku ‘utawaka moto’ wakati Yamoto Band na Mashauzi Classic
zitakapotoa shoo kabambe hapo.
Wasanii wa yamoto band.
Ni
onyesho ambalo limeteka hisia za mashabiki wa muziki kutokana...
Subscribe to:
Posts (Atom)