Thursday, September 24, 2015

Kipa De Gea  amesema anasikia fahari kubwa kufanywa Kepteni wa Manchester United Jana Usiku wakati walipoifunga Ipswich Town 3-0 Uwanjani Old Trafford katika Mechi ya Raundi ya 3 ya Capital One Cup. David De Gea alirejeshwa Kikosi cha Kwanza cha Man United Mwezi huu baada ya kutupwa nje kutokana na sakata lake la kuhamia Real Madrid. Jana, baada ya Kepteni Wayne Rooney kutoka Uwanjani...
Klabu ya soka ya Arsenal ilikuwa ikihusishwa kutaka kuwasajili wachezaji kadhaa katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August lakini haikufanikiwa na hatimaye ilifanikiwa kumsajili kipa wa zamani wa Chelsea Peter Cech kwa dau la pound milioni 10, miongoni mwa majina yaliyokuwa...
Stori za soka la wanawake kukua zimezidi kuchukua nafasi duniani kote ila kinachovutia ni kuwa utamaduni wa nchi za kiarabu ambazo zimekubali kuunga mkono soka la wanawake lakini kwa baadhi ya masharti kwa washiriki hao kama mavazi na mengineyo. September 24 ninayo stori kutoka Iran inayohusu...
...
Viingilio vya mchezo wa watani wa jadi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania utakaochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam vimetangazwa leo ambapo kiingilio cha chini kitakua ni shilingi elfu saba (7,000). atika mchezo huo kiingilio cha juu kitakua ni shilingi Elfu Thelathini (30,000) kwa viti vya VIP A, Elfu Ishirini (20,000) kwa viti vya VIP B & C, huku kiingilio...
Zimeibuka taarifa kuwa Daktari wa Chelsea Mwanamama Eva Carneiro ameacha kazi Klabuni hapo na yupo mbioni kuifungulia Mashitaka. Dokta huyo aliondolewa kuihudumia Timu ya Kwanza ya Chelsea baada ya Mechi ambayo Chelsea walitoka 2-2 na Swansea hapo Agosti 8. Katika Mechi hiyo,Dokta Carneiro na Tabibu wa Viungo Jon Fearn waliingia Uwanjani kumtibu Eden Hazard kwenye Dakika za Majeruhi wakati...
Mathieu Flamini  akipeta!Mathieu Flamini alipoifungia bao la pili Arsenal na kufanya 2-1 dhidi ya Spurs 2-1Calum Chambers (21) kajifunga goli na kuwazawadia bao wapinzani wao Tottenham kwa kuisawazishia bao Spurs kwa kufanya 1-1. ...
Umati wa Wananchi wa Lindi Mjini, wakiwa katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Pilipili, Mkoani Lindi leo Septemba 23, 2015. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, LINDI. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia...

waliotembelea blog