Wednesday, January 29, 2014

Justin Bieber mashakani Mwanamziki mashuhuri wa muziki wa 'pop' kutoka Canada Justin Bieber amefunguliwa mashtaka ya kumpiga dereva wa gari la kifahari la kukodisha mwezi Disemba mwaka uliopita. Bwana Bieber aliye na umri wa miaka 19 alikaribishwa katika katika kituo cha polisi cha Toronto na kikosi...
Mshambulizi Sergio Aguero wa Man City Klabu ya Manchester City imechupa hadi kileleni mwa ligi kuu ya soka nchini England baana ya kuonesha soka safi dhidi ya klabu ya Tottenham katika uga wa White Hart Lane. ...
Wabunge wa Ukraine Bunge la Ukraine limeidhinisha sheria inayotoa msamaha kwa waandamanaji waliozuiliwa wakati wa vurugu zilikumba taifa hilo katika siku za hivi karibuni. Vyama vya upinzani vilisusia kura hiyo kulalamikia kifungu katika mswada...
  Mwenyekiti wa Chama cha Demokreasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee wakiondoka baada ya kuhutubia mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika mjini Ifakara jana.   Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akimtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele, wakati wa mkutano wa Operesheni M4C Pamoja...
  ...
   Kocha wa Manchester City akijionea mwenyewe wenzao bao 5-1 kwao White Hart Lane.    Bao la nne kwa City limefungwa na Stevan Jovetic katika dakika ya 78, Huku Spurs wakicheza pungufu wakiwa 10. Spurs Mchezaji wao alifanya makosa na hatimaye Kompany akawashona bao la tano na kufanya 5-1 dhidi ya wenyeji Spurs. Yaya Toure na Dzeko wakipongezana baada ya kupata...
Samuel Eto'o akiachia shuti kali J Jose Mourinho akipagawa na kulalamikaJoseakicheki mechi   ...
Maelfu waliachwa bila makao kutokana na vita Sudan Kusini Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa itawafungulia mashitaka wahusika wakuu wa njama ya mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Salva Kiir. Serikali...
Wanajeshi wa serikali ya Sudan Kusini na waasi bado wanaendelea na mapigano licha ya makubaliano ya wiki iliyopita ya kuweka chini silaha, huku kila upande ukitafuta kuchukua udhibiti wa miji mikuu nchini humo Umoja wa Mataifa umesema idadi ya raia wanaotafuta hifadhi katika kambi zake nchini humo inazidi kupanda. Naibu wa msemaji wa umoja wa Mataifa Fahran Haq amewaambia waandishi wa...
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limependekeza kuwepo idadi ya wanajeshi zaidi ya elfu kumi katika Jamhuri ya afrika ya Kati kwa ajili ya kulinda amani. Tayari kikosi cha umoja wa Ulaya kimepewa ruhusa na Umoja wa mataifa ya kwenda Jamhuri ya Afrika Kati ili kuwalinda raia.Kwenye azimio lililopitishwa kwa kauli moja na wanamemba 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa ni kwamba...
Wanajeshi wa DRC walisaidiana na vikosi vya UN kupambana na waasi wa M23 Mjumbe maalum wa Marekani katika Maziwa makuu,amesema kuwa hali ya usalama katika eneo hilo inaendelea kuimarika, baada ya waasi wa kundi la M23 kukubali kusalimisha silaha mwezi Novemba. ...
Mechi kati ya Liverpool na Everton Klabu ya Liverpoool inaendeleza kampeni yake ya kutaka kuwa miongoni mwa timu nne bora katika Ligi Kuu ya England baada ya kuichachawiza Everton mabao 4-0 katika mchuano wa katikati ya juma ulioandaliwa Jumanne katika uwanja wa Anfield. ...

waliotembelea blog