Monday, February 16, 2015

Mkuu wa wilaya ya mtwara Mh, Wilman Kapenjama akimpongeza mzee Sefu Namtapika (60) baada ya kumkabidhi gari yake aina ya Toyota IST mpya aliyojishindia kupitia promosheni ya Airtel Yatosha zaidi na kukabidhiwa katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki hii.Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha...
UEFA CHAMPIONS LIGI inarudi tena dimbani Jumanne Februari 17 kwa Mechi mbili za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 wakati FC Shakhtar Donetsk ya Ukraine watakapokuwa Wenyeji wa Bayern Munich na Paris Saint-Germain kuikaribisha Chelsea ndani ya Parc des Princes Jijini Paris Nchini France.Jumatano Raundi ya Mtoano ya Timu 16 pia itaendelea kwa Mechi mbili ambapo Mabingwa Watetezi Real Madrid...
Dakika ya 88 Wayne Rooney aliipachikia bao la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya kuangushwa ndani eneo la hatari na kipa wa Preston North End Thorsten Stuckmann kwenye Uwanja wao Deepdale Stadium, Preston  mtanange ukichezeshwa na Mwamuzi P. Dowd.Ushindi huu unawarudisha Man United Old Trafford kujiandaa na  Raundi ya 6 kuwakaribisha Wazee wa Mtutu wa London Gunners (Arsenal)...
Dakika ya 88 Wayne Rooney aliipachikia bao la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya kuangushwa ndani eneo la hatari na kipa wa Preston North End Thorsten Stuckmann kwenye Uwanja wao Deepdale Stadium, Preston  mtanange ukichezeshwa na Mwamuzi P. Dowd.Ushindi huu unawarudisha Man United Old Trafford kujiandaa na  Raundi ya 6 kuwakaribisha Wazee wa Mtutu wa London Gunners (Arsenal)...
Dakika ya 88 Wayne Rooney aliipachikia bao la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya kuangushwa ndani eneo la hatari na kipa wa Preston North End Thorsten Stuckmann kwenye Uwanja wao Deepdale Stadium, Preston  mtanange ukichezeshwa na Mwamuzi P. Dowd.Ushindi huu unawarudisha Man United Old Trafford kujiandaa na  Raundi ya 6 kuwakaribisha Wazee wa Mtutu wa London Gunners (Arsenal)...

waliotembelea blog