Thursday, September 5, 2013

Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametoka nje muda huu baada ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Mhe. Freeman Mbowe kuamriwa atolewe nje na Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai.  Mbowe alisimama ili achangie lakini aliamriwa na Job Ndugai kukaa chini jambo ambalo hakuliafiki na kuendelea kusimama. Baada ya tukio hilo, Ndugai aliwaamuru...

waliotembelea blog