Sunday, June 7, 2015

...
LEO Republic of Ireland na England zilikutana na zilitoka Sare ya 0-0 katika Mechi ya Kirafiki iliyochezwa huko Dublin Nchini Ireland ikiwa ni mara ya kwanza kwa Nchi hizo kukutana huko kwa zaidi ya Miaka 20 baada ya Mechi yao ya mwisho Mwaka 1995 kuvunjika baada ya kutokea fujo za Mashabiki. Hii Leo Mashabiki walipoa lakini Mechi yenyewe ilipooza kabisa pengine kila Timu ikijilinda...
Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Gulio la Airtel na Huawei Smartphone lililofanyika Mlimani City wikiendi hii. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litakaloendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia Mkutan wa hadhara leo kwenye Uwanja wa Mashujaa maarufu kwa jina la Uhmjini Bukoba, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na ilani ya Uchaguzi ya CCM.Shangwe! Wananchi wakiunga mkono jambo katika Mkutano huo Mbunge wa Bukoba Mjini Mh. Khamis Sued Kagasheki aliingia kwa Pongezi kutoka kwa Wananchi waliokuwa wamejitokeza kwa Wingi...

waliotembelea blog