Monday, July 13, 2015

KIUNGO wa kimataifa wa Ujerumani, Bastian Schweinsteiger atawasili Uwanja wa Ndege wa Manchester kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 15 kuhamia Manchester United kutoka Bayern Munich. Nahodha huyo wa Ujerumani, ambaye ameongozana na mpenzi wake, nyota wa tenisi, Ana Ivanovic, atakwenda moja kwa moja kufanyiwa vipimo vya afya na kufanya makubaliano ya maslahi binafsi kabla ya kukamilisha...
Ikiwa ni siku kadhaa baada ya klabu Chelsea kumuachia mlinda mlango wao namba moja Peter Cech ajiunge na klabu ya Arsenal, leo hii Chelsea wamethibitisha kumsajili mlinda mlango Asmir Begovic kutokea kutokea katika klabu ya Stoke City. Chelsea wamemsajili Asmir Begovic (28) kwa mkataba wa miaka minne na ataungana na wachezaji wenzie siku ya jumatano katika ziara ya maandalizi ya msimu mpya...
TP Mazembe imecheza mechi ya pili mfululizo bila ya ushindi, baada ya usiku wa jana kulazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji Moghreb mjini Tetouan, Morocco katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika. Watanzania Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta wote walicheza mechi hiyo ya ugenini. Ulimwengu alicheza dakika zote 90 akionyeshwa kadi ya njano dakika ya 77, wakati Samatta alitolewa...
LIVERPOOL WATUA BANGKOK NA KUPOKELEWA NA MASHABIKI LUKUKI! BRENDAN RODGERS AMWONGELEA RAHEEM STERLING! Liverpool manager Brendan Rodgers said that there was no problem with his relationship with Raheem SterlingThe Liverpool manager spoke from the team's Plaza Athenee Bangkok hotel in Thailand after the team landed on MondaySterling (right), pictured with Rodgers in training last season, did...
  Muigizaji Benson Wanjau wa Kenya maarufu kama Mzee Ojwang wa vipindi kama Vitimbi, Vioja  Mahakamani, Vituko, Kinyonga na vingine vingi afariki dunia jana Usiku akiwa amelazwa hospitali ya taifa ya Kenyatta National Hospital. Mzee Ojwang alikuwa anasumbuliwa na Pneumonia. Wakenya wengi wameguswa na msiba huu huku baadhi ya watu wakipost ujumbe tofauti kwenye mitandao...
Ofa iliyokubaliwa ya Manchester City kumsajili kiungo Raheem Sterling kutoka klabu ya Liverpool imeweka rekodi mpya katika listi ya wachezaji ghali zaidi wenye asili ya taifa la Uingereza.   Man city imekubali kuilipa Liverpool ada ya kiasi cha £49m kwa ajili ya Sterling na kumfanya kuwa mchezaji ghali zaidi ambaye bado yupo chini ya umri wa miaka 21. Raheem...
. Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu zinazopelekea kwa kukwama. .Izzo Bizness ‘Muziki  wa Hip Hop sio kama Haupenyi kimataifa ila kuna vitu ambavyo vinakwamisha kama uongozi mbaya, mtaji mdogo kwahiyo kuna vitu vingi lakini sio kwamba muziki...
Wakati Bastian Schweinsteiger, Matteo Darmian na Morgan Schneiderlin wakielekea Old Trafford kukamilisha  ndoto zao za kujiunga na moja ya vilabu vikibwa duniani, Robin van Persie yeye ameondoka kwenye klabu hiyo.   Mshambuliaji huyo wa kiholanzi ambaye alijiunga na Manchester United mnamo mwaka 2012 akitokea Arsenal kwa ada ya uhamisho...

waliotembelea blog