Hatimaye
Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha demokrasia na maendeleo
-Chadema Bw. Wilfred Muganyizi Lwakatare ameibuka kidedea leo hii kuwa
Mbunge wa Bukoba Mjini akiibuka kidedea dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa
Jimbo la Bukoba Mjini kwa tiketi ya CCM, Khamis Kagasheki. Matokeo hayo
yametanga usiku huu punde na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bukoba mjini
Bw. Aron T. Kagurumjuli....