Jumamosi Desemba 19 18:00 Chelsea v Sunderland 18:00 Everton v Leicester 18:00 Man United v Norwich 18:00 Southampton v Tottenham 18:00 Stoke v Crystal Palace 18:00 West Brom v Bournemouth 20:30 Newcastle v Aston Villa Jumapili Desemba 20 16:30 Watford v Liverpool 19:00 Swansea v West Ham...
Thursday, December 17, 2015


Mmiliki
wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich alikutana na bodi ya klabu hiyo
kujadili hatima ya meneja wa klabu hiyo Jose Mourinho na sasa kuamua
kumtimua.
Hii ni baada ya klabu hiyo kuandikisha
matokeo mabaya sana msimu huu, matokeo ya karibuni zaidi yakiwa kuchapwa
2-1 na Leicester ligini Jumatatu.Hiyo ilikuwa mara ya tisa kwa
Chelsea kushinda Ligi ya Premia katika mechi 16 na sasa...



SHIRIKISHO
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefanya marekebisho ya kanuni za
usajili ambapo sasa mchezaji ambaye usajili wake utakuwa umepita kwenye
mfumo wa mtandao wa Transfer Matching System (TMS) atapewa leseni na
kuitumikia moja kwa moja timu yake mpya.
TFF
itatoa leseni ya usajili wa mchezaji ambaye amethibitishwa kupitia
mtandao wa TMS baada ya kuwepo nyaraka zote; mkataba...
Subscribe to:
Posts (Atom)