Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaam
Tel: 0712461976/0764302956
WEKUNDU
wa msimbazi Simba “Taifa kubwa” wameanza mazoezi katika uwanja wa
Kinesi jijini Dar es salaam chini ya kocha wake mkuu, Mcroatia Dravko
Logarusic, kujiwinda na mtanange wa vuta ni kuvute dhidi ya Maafande wa
Tanzania Prisons “wajelajela” katika dimba la sokoine jijini Mbeya
jumapili...
Wednesday, March 5, 2014



Na Saleh Ally, Cairo
Mabingwa wa Afrika, Al Ahly ya hapa,
wameamua kuondoka kwenye uwanja ambao wamekuwa wakifanyia mazoezi na
kujichimbia kusikojulikana.
Al Ahly wameamua kufanya hivyo ili
kufanya maandalizi yao kwa utulivu kabla ya kuivaa Yanga katika mechi ya
marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumapili.
Katika mechi...


Hali ya wasiwasi imekumba jimbo la Crimea.
Rais
Obama ametangaza mapendekezo ambayo huenda yakatoa suluhu kwa mzozo wa
Ukraine, ikiwemo kuwatuma wachunguzi wa kimataifa na kuanzishwa
mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Moscow na serikali mpya mjini Kiev.
Bwana Obama amejadili swala hilo kwa njia ya simu...
Subscribe to:
Posts (Atom)