Sunday, November 3, 2013

HUKU akiwa na majonzi ya kuondokewa na baba yake mzazi, Balozi Isaac Abraham Sepetu aliyefariki dunia Jumapili iliyopita kwa ugonjwa wa kisukari, baadhi ya wasanii wanaounda Klabu ya Bongo Movie (muvi) Unity wanadaiwa kuchekelea kifo hicho na kumsusia msiba mwingizaji mwenzao, Wema Isaac Sepetu. Habari kutoka chanzo chetu makini zilidai kuwa hoja dhaifu iliyo tumiwa na wahusika hao ni...

waliotembelea blog