Thursday, March 12, 2015

MABINGWA wa Dunia, Germany, bado wapo Nambari Wani mbele ya Argentina na Colombia huku Tanzania ikipanda Nafasi 7 na kukamata Nafasi ya 100.  Kwa Nchi za Afrika, Algeria ndio ipo juu ikiwa Nafasi ya 18 ikifuatiwa na Ivory Coast walio Nafasi ya 20.  Italy wameingia 10 Bora kwa mara ya kwanza tangu Juni 2014 na kuwaporomosha Mabingwa wa Dunia wa zamani Spain ambao sasa wako Nafasi...
RATIBA: Jumamosi Machi 14 15:45 Crystal Palace vs QPR 18:00 Arsenal vs West Ham 18:00 Leicester vs Hull 18:00 Sunderland vs Aston Villa 18:00 West Brom vs Stoke 20:30 Burnley vs Man City Jumapili Machi 15 16:30 Chelsea vs Southampton 19:00 Everton vs Newcastle 19:00 Man United vs Tottenham   Jumatatu...
PSG yawaondoa Chelsea kwenye Uefa kwa dakika 120 usiku huu. Bao la Ugenini likiwabeba baada ya Silva kusawazisha bao dakika ya 114.Thiago Silva akishangilia bao lake la kusawazisha 2-2 kwa kichwa baada ya kona kupigwa dakika ya 114 kwenye mchezo uliopigwa dakika 120.Wachezaji wa PSG wakishangilia kwa Mashabiki wao Stamford BridgeUshindi wa kwetu PSG!!Raha ya UshindiMkali wa kipindi cha...

waliotembelea blog