Wednesday, February 5, 2014

ht! : First work out and meeting staff/players: Even in discussion with Maxwell, Cabaye can’t stop smiling. Maxwell must want to wipe that smile off his face! LoL! We get it. You’re happy. Meeting fellow Frenchie, Menez Another fellow Frenchman, Digne And another one, Blaise! C … ...
Mlipuko ulitokea saa tano asubuhi Watoto sita wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa nchini Libya baada ya shule yao mjini Benghazi kushambuliwa kwa guruneti. Maafisa wanasema kuwa gureti hilo lilitupwa mahala watoto hao...
Umoja wa Mataifa umekuwa ukifuatilia visa vya mapadre kuwadhulumu watoto Umoja wa mataifa umetuhumu makao makuu ya kanisa katoliki la Vatican kwa kuidhinisha na kutumia sera zilizowezesha mapadre kubaka na kuwalawiti maelfu ya watoto. Kamati...
   Michael Laudrup enzi hizo akiwa anaiongoza Swansea... Swansea City imemfuta kazi kocha wake Michael Laudrup na kumpa nahodha wa timu hiyo Garry Monk kuiongoza katika mechi ya ligi dhidi ya wapinzani wake Cardiff City Jumamosi ijayo.Taarifa hizo zinajiri siku moja tu baada ya mwenyekiti wa kilabu hiyo Huw Jenkins kupuuzilia mbali tetesi kuwa walikuwa wamezungumzia mustakabali...
  Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika. Young Africans itashukda dimbani kuhakikisha inaendeleza wimbi la ushindi kufuatia kupata ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi...

waliotembelea blog