Kuelekea michuano ya mataifa ya Ulaya
yatakayofanyika mwaka 2016, shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza
mpira maalum kwa ajili ya kutumika katika mashindano hayo, mpira wa
utaotumika katika mashindano hayo ya mataifa ya Ulaya kwa mwaka 2016
umetengenezwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya kijerumani ADIDAS.
Mpira huo maalum wa Euro...
Friday, November 13, 2015


Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo
anaripotiwa kutumia mkwanja mrefu kununua ndege binafsi, Staa huyo
anayeongoza katika list ya rekodi ya watu maarufu wanaongoza kupata
likes nyingi katika mtandao wa facebook amenunua ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 Business Jet.
Ronaldo mwenye
...
Subscribe to:
Posts (Atom)