Friday, June 13, 2014

Bastian Schweinsteiger anawindwa na Manchester United majira ya kiangazi mwaka huu. KLABU ya Manchester United inamuwinda zaidi Bastian Schweinsteiger katia usajili wa majira ya kiangazi mwaka huu. Mtandao huu kupitia mtandao rafiki wa Sportsmail iliweka wazi mwezi uliopita kuwa Man United wanavutiwa na nyota huyo mwenye miaka 29. Schweinsteiger kwa upande wake tayari ameshaonesha...
French disconnection: Sagna leaves the Emirates after seven seasons in north London Bacary Sagna has agreed to join Manchester City when his Arsenal contract expires on June 30.Sagna, 31, yesterday said his good-byes to Arsenal after seven years with the Gunners and will officially join City on July 1 on a Bosman.Arsenal confirmed the defender’s departure on their website today and thanked...
Na Baraka Mbolembole Senegali ifikia hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia mwaka 2002 katika nchi za Korea Kusini na Japan na kuwa timu ya pili ya Afrika kufika hatua hiyo baada ya Cameroon kufanya hivyo mwaka 1990 nchini Italia. Senegal kama ilivyo kwa Cameroon ilifanya vizuri katika michuano yake ya kwanza ya fainali hizo kubwa zaidi za soka duniani. Wakati Ghana ilikuwa...
Warembo wanaogombania Miss Manyara 2014 Warembo wanaogombania Miss Manyara 2014 wakiwa wanacheza mmoja ya wimbo watakaoucheza katika siku ya mashindano ikiwa ni moja ya sehemu ya mazoezi. Picha na Woinde Shizza. Na Woinde Shizza, Manyara Kinyanganyiro cha kugombea Redd's Miss Manyara 2014, kinatarajia kufanyika kesho Jumamosi Juni 14 mwaka huu katika ukumbi wa CCM Mkoa, mjini...
Wakitazamana: Neymar na Luka Modric wakijiandaa kuruka juu  Sao Paulo.  MWAMUZI Yuichi Nishimura hatausahau usiku wa leo baada ya kuwasaidia kwa kiasi kikubwa wenyeji Brazil kuvuna pointi tatu dhidi ya Croatia katika mchezo wao wa kwanza wa kombe la dunia mwaka 2014. Mjapani huyo alimwacha Neymar aendelee kuwepo uwanjani baada ya kumpiga kiwiko Luka Modric katika...

waliotembelea blog