Bastian
Schweinsteiger anawindwa na Manchester United majira ya kiangazi mwaka
huu. KLABU ya Manchester United inamuwinda zaidi Bastian Schweinsteiger
katia usajili wa majira ya kiangazi mwaka huu. Mtandao huu kupitia
mtandao rafiki wa Sportsmail iliweka wazi mwezi uliopita kuwa Man United
wanavutiwa na nyota huyo mwenye miaka 29. Schweinsteiger
kwa upande wake tayari ameshaonesha...
Friday, June 13, 2014


French disconnection: Sagna leaves the Emirates after seven seasons in north London Bacary Sagna has agreed to join Manchester City when his Arsenal contract expires on June 30.Sagna,
31, yesterday said his good-byes to Arsenal after seven years with the
Gunners and will officially join City on July 1 on a Bosman.Arsenal
confirmed the defender’s departure on their website today and thanked...


Na Baraka Mbolembole
Senegali ifikia hatua ya robo fainali ya
michuano ya kombe la dunia mwaka 2002 katika nchi za Korea Kusini na
Japan na kuwa timu ya pili ya Afrika kufika hatua hiyo baada ya Cameroon
kufanya hivyo mwaka 1990 nchini Italia. Senegal kama ilivyo kwa
Cameroon ilifanya vizuri katika michuano yake ya kwanza ya fainali hizo
kubwa zaidi za soka duniani. Wakati Ghana ilikuwa...



Warembo wanaogombania Miss Manyara 2014
Warembo wanaogombania Miss Manyara 2014 wakiwa wanacheza mmoja ya wimbo
watakaoucheza katika siku ya mashindano ikiwa ni moja ya sehemu ya
mazoezi. Picha na Woinde Shizza. Na Woinde Shizza, Manyara
Kinyanganyiro cha kugombea Redd's Miss Manyara 2014, kinatarajia
kufanyika kesho Jumamosi Juni 14 mwaka huu katika ukumbi wa CCM Mkoa,
mjini...


Wakitazamana: Neymar na Luka Modric wakijiandaa kuruka juu Sao Paulo.
MWAMUZI Yuichi Nishimura hatausahau
usiku wa leo baada ya kuwasaidia kwa kiasi kikubwa wenyeji Brazil kuvuna
pointi tatu dhidi ya Croatia katika mchezo wao wa kwanza wa kombe la
dunia mwaka 2014.
Mjapani
huyo alimwacha Neymar aendelee kuwepo uwanjani baada ya kumpiga kiwiko
Luka Modric katika...
Subscribe to:
Posts (Atom)