...
Monday, July 21, 2014


Komweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku mwanamuziki wa bendiya Vijana Jazz
Marehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa mwamuziki wa bendi ya Vjana Jazz enzi hizo.
…………………………………………………………………………………………
Komweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku ni Mtoto wa mwanamuziki wa zamani marehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku
aliyekuwa akiimba katika bendi...


+6
Gwiji: Mourinho (kushoto) alimleta Drogba Chelsea mwaka 2004 kutokea klabu ya Marseille.
Imechapishwa Julai 21, 2014, saa 6:35 mchana
NDOTO ya Didier Drogba kurudi tena Chelsea inatarajia kukamilika wiki hii.
Mazungumzo ya kumpa mkataba wa mwaka
mmoja wa ukocha na mshambuliaji wa akiba yamekuwa yakiendelea vizuri na
kuelekea kukamilika na gwiji huyo wa darajani mwenye...


Na Shaffih
Dauda
KOCHA wa Timu
ya taifa ya Tanzania, Mholanzi, Mart Nooij aliamua kuwaanzisha washambuliaji
wanne katika mechi dhidi ya Msumbuji, kuwania kupangwa hatua ya makundi ya kusaka
tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya Afrika, AFCON, mwakani nchini Morroco.
Mbwana Ally
Samatta, Thomas Ulimwengu, John Bocco `Adebayor` na Mrisho Ngassa, wote kwa
pamoja walianza katika sare ya 2-2...
MJUE KIUNDANI KHAMIS MCHA ALIYEITUNGUA `BLACK MAMBAS` MABAO MAWILI…FAHAMU KWANINI ANAITWA `VIALLI`..



Khamis Mcha `Vialli` akiwa katika harakati za kufunga katika mechi ya jana dhidi ya Msumbiji
KUTOKANA na kambi iliyowekwa mjini
Gaborone nchini Botswana kwa wiki mbili na baadaye mjini Tukuyu mkoani Mbeya,
Watanzania wengi walikuwa na matumaini ya kuibuka na ushindi dhidi ya Msumbiji.
Matumaini haya hayakuwa kwa mashabiki
tu, hata kwa benchi la ufundi, viongozi
wa soka na wachezaji...
Subscribe to:
Posts (Atom)