
Willy Kirouera Rutta: Nisaidieni
jamani kwa kutoa maoni yako- Hivi kwanini vijana wengi ambao ni wahaya
HAWAPENDI KUJITATAMBULISHA KUWA NI WAHAYA, wanapenda kuona fahari ya
kujitambulisha kuwa mi sio mhaya kwani sikuzaliwa Bukoba, wengine Mama
mchaga, utasikia sikusomea wala sijui kihaya, wengine mi mhaya wa
kiharabu, WENGINE BIBI MZAA BABA NDIO MHAYA. Mimi binafsi ni mhaya
origanal na...