Ligi
Kuu soka Tanzania bara inaendelea tena kwa michezo kadhaa kupigwa siku
ya Jumatano ya October 28 na Alhamisi ya October 29. Ligi hiyo
inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali ambapo
uwanja wa Taifa Dar Es Salaam utapigwa mchezo ambao unatajwa kuwa na
presha kwa kocha wa Simba Dylan Kerr ambaye kuna tetesi kuwa uongozi wa
Simba umempa mechi mbili afanye vizuri...
Tuesday, October 27, 2015


Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon Rigobert Song ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Chad.Song,
mwenye umri wa miaka 39, aliteuliwa Jumatatu kumrithi Mfaransa Emmanuel
Tregoat, ambaye mkataba wake ulimalizika Septemba 30."Haitakuwa
rahisi kufuzu kwa Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 lakini tuko tayari
kujikaza kisabuni,” difenda huyo wa zamani wa Liverpool na West...


Mchezaji
wa Manchester United Wayne Rooney ameruhusiwa kufanyiwa Mechi ya
Kumuenzi na mapato yote ya Mechi hiyo kwenda kwenye Mifuko ya Hisani. Mechi hii imepitishwa baada ya Mashabiki kuiomba Klabu kutambua mchango mkubwa uliotukuka wa Rooney kwa Klabu hiyo. Sasa Mechi hii itachezwa Old Trafford hao Agosti 3, 2016 dhidi ya Wapinzani ambao watapangwa baadae. Akiongelea
uamuzi huu, Rooney...


Timu
ya Taifa Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Miguu (Twiga Stars)
inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Wanawake ya
Malawi Novemba 7, 2015 jijini Dar es salaam.
Mchezo
huo wa kirafiki ni sehmu ya kujipima kwa Twiga Stars inayonolewa na
kocha Rogasian Kaijage, ambayo ilishiriki Fainali za Michezo ya Afrika
(All Africa Games) mwezi Agosti – Septemba nchini...


Muigizaji Kingwendu ni miongoni mwa mastaa ambao wamechukua headline za kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 kama Afande Sele, Professor Jay, Muigizaji Frank na wengineo.
Stori iliyonifikia ni kwamba muigizaji
huyo hakufanikiwa kupata Ubunge kupitia tiketi ya CUF katika jimbo la
Kisarawe...
Subscribe to:
Posts (Atom)