Thursday, January 5, 2017

...
Kliniki ya soka ya Airtel Rising Stars iyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa inatarajiwa kuanza Jumatatu, Januari 16 kwenye Uwanja wa Karume huku wavulana 40 na wasichana 25 waliofanya vyema kwenye michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars 2016 wakishiriki. Kufanyika kwa kliniki hiyo kutakuwa ni hitimisho ya michuano ya Airtel Rising Stars msimu wa sita. Kliniki ...
KLABU ya Hull City imethibitisha kuachana na Meneja wao Mike Phelan alieshinda Mechi 3 tu kati ya 20. Phelan, mwenye Miaka 54 na ambae alikuwa Msaidizi wa Sir Alex Ferguson huko Man United, aliteuliwa Meneja wa kudumu Mwezi Oktoba. Juzi Jumatatu, Hull City ilichapwa 3-1 na West Bromwich Albion na kuiacha ikiwa eneo la hatari la mkiani mwa EPL, Ligi Kuu Engl, wakiwa na Pointi 13 kwa Mechi...

waliotembelea blog