Mkurugenzi
wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya
Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara
baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar
Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall
Bwawani Mjini Zanzibar. Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi… Mkurugenzi
wa Biashara...
Saturday, February 28, 2015


Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa Blog ya
The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na
waandishi. Kutoka kushoto ni mjumbe wa TBN Mkala Fundikira, Afisa wa
kampuni ya mawasiliano na matangazo ya AIMS, Shafiq Mpanja wa AIM, Ofisa
Uhusiano wa NMB Doris Kilale na mjumbe wa TBN Khadija Kalili. Katika
mkutano huo TBN imesema kesho...


Kepteni wa Manchester United Wayne
Rooney akiteta jambo na Jonny Evans juu ya Mchezo huo ambao wote
wamepeana hamasa ya kuibuka na Ushindi kesho dhidi ya Sunderland.
Radamel Falcao akijifua kwenye Uwanja wa Carrington, Manchester United
wakijiandaa kuikaribisha Sunderland ngland, Premier League mchezo
utakaopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford
Meneja...
Subscribe to:
Posts (Atom)