Saturday, February 28, 2015
6:04 AM
Unknown
2:59 AM
Unknown
Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa Blog ya The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na waandishi. Kutoka kushoto ni mjumbe wa TBN Mkala Fundikira, Afisa wa kampuni ya mawasiliano na matangazo ya AIMS, Shafiq Mpanja wa AIM, Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale na mjumbe wa TBN Khadija Kalili.
Katika mkutano huo TBN imesema kesho Jumamosi jioni Bloggers takriban 100 kutoka sehemu mbalimbali Nchini watakutanika katika ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es salam kwa ajili ya hafla ya mwaka mpya itayohudhuriwa pia na wadhamini na marafiki wa Bloggers.
Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale akifafanua jambo wakati wa mkutano.
Mmiliki wa Blog ya Bongoweekeend Khadija Kalili akizungumza wakati wa mkutano.
Father Kidevu (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano.
2:48 AM
Unknown
Meneja Louis van Gaal amezungumza ila hakuweka wazi juu Robin van Persie atakaa nje muda gani ila amesema ni wiki kadhaa
Van Gaal

Robin van Persie aliumia wiki iliyopita wakati wa Mchezo wao na Swansea City huko kwenye Uwanja wa Liberty, Aliumia Enka.
Michezo mitano ijayo ya MANCHESTER UNITED
February 28: Sunderland (nyumbani)
March 4: Newcastle (Ugenini)
March 9: Arsenal (Nyumbani)
March 15: Tottenham (Nyumbani)
March 22: Liverpool (Ugenini)
Van Gaal akiteta kwenye Vyombo vya Habari juu ya mchozo wao na Sunderland kesho jumamosi 28
Makipa: David de Gea na Victor Valdeswakiteta jambo hii leo wakati wa mazoezi
Luke Shaw na Juan Mata wote wanategemewa kucheza mchezo wao wa kesho Old Trafford dhidi ya Sunderland
Van Pesrsie aliumia wakati wa Mchezo na Swansea City walipopewa kichapo cha bao 2-1
Subscribe to:
Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter