Na Boniface Wambura, Dar es salaam
Timu ya
Nigeria (Flying Eagles) imewasili nchini kwa ajili ya mechi ya michuano ya
Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 dhidi ya Tanzania (Ngorongoro
Heroes) itakayochezwa Jumapili (Mei 11 mwaka huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar
es Salaam.
Flying
Eagles yenye msafara wa watu 32 imewasili leo (Mei 8 mwaka huu) alfajiri kwa
ndege ya...
Thursday, May 8, 2014


Aliyekuwa Kocha mkuu wa Yanga sc, Hans Van Der Pluijm ( wa
kwanza kulia) akiwa na wasaidizi wake, Boniface Mkwasa ( wa pili kulia)
na Juma Pondamali ( wa tatu kulia)
KOCHA mkuu
wa Young Africans, Mholanzi, Hans Van der Pluijm amepata kazi mpya nchini Saudi
Arabia na tayari ameshaaga rasmi mchana huu kwa wachezaji wake, viongozi,
wapenzi na wanachama wa klabu...


Jose
Mourinho anaweza kuwa kocha wa nne kumaliza msimu bila kombe kwa klabu
ya Chelsea tokea Roman Abramovich aanze kuimiliki klabu hiyo. Alianza
Claudio Ranieri kukosa kombe akafukuzwa kazi akifuatiwa na Carlo
Ancelotti na Avram Grant. Hadi sasa klabu ya Chelsea imeshatolewa kwenye
michuano yote ya ndani na nje ya England huku ikiwa nafasi ya tatu
kwenye ligi kuu. Ni wazi kuwa...


TAYARI mchakato wa uchaguzi
katika klabu ya Simba sc umeshaanza na tayari mwenyekiti wa kamati ya
uchaguzi, Damas Ndumbaro ametangaza kuwa juni 29 mwaka huu uchaguzi
utafanyika
Wapo watu wengi wanaotamani kuiongoza klabu ya Simba ambayo kwasasa ipo katika hali ngumu kwa soka la uwanjani.
Kumaliza nafasi ya nne nyuma ya Mbeya City, Yanga...


Na Baraka Mpenja , Dar es salaam
MOJA ya kilio kikubwa cha watanzania ni kutaka
kuona timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa
stars inafanya vizuri katika mashindano ya kimataifa.
Tangu iliposhiriki kwa mara mwisho fainali za
kombe la mataifa ya Afrika mwaka 1980 nchini Nigeria, Taifa Stars haijafanikiwa
kupata nafasi kama hiyo.
Kuelekea fainali za mataifa ya Afrika, AFCON
zitakazofanyika...


Dakika
ya 12 tu Jack Colback aliipachikia Sunderland bao, Bao la pili
lilifungwa na Fabio Borini katika dakika ya 31 baada ya kupata mpira
kutoka kwa Sebastian Larsson.
Fabio Borini akitupia katika dakika ya 31 na kufanya 2-0 kabla ya kwenda mapumziko.
Kama kawaida kwa Fabio Borini akishangilia aina yake ile alipoipachikia bao la pili Sunderland.
VIKOSI:
Sunderland: Mannone, Vergini,...


Real
Madrid walilazimishwa Sare ya Bao 1-1 na Real Vallodolid na hilo ni
pigo kwao kutwaa Ubingwa na pia kumpoteza Staa wao mkubwa Cristiano
Ronaldo aliecheza Dakika 8 tu za kwanza na kupumzishwa baada kujisikia
maumivu na nafasi yake kuchukuliwa na Chipukizi Alvaro Morata.Hivi karibuni Ronaldo amekuwa akikabiliwa na tatizo la Musuli za Pajani ambalo lilimweka nje kwa Wiki 3.Real sasa wako...


Edin Dzeko akishangilia vikali baada ya kuifungia bao mbili City na
kupanda kileleni usiku huu. Mtanange wao wa mwisho kuamua nani Bingwa
kati yao na Liverpool, Huku Ushindi wa City wa bao 4-0 ukiwakalisha
kileleni na pointi zao 83 na Liverpool wakishika nafasi ya pili wakiwa
na pointi 81.
Dzeko hapa aliwaunganisha wachezaji wa City kwa pamoja na kumpongeza.
Kipindi cha kwanza kilimalizika...


WACHEZAJI
maarufu wa Klabu ya AC Milan ya Italy, Kaka na Robinho, sasa ni rasmi
hawatacheza Timu ya Taifa ya Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia
zinazoanza kuchezwa Nchini Brazil kuanzia Juni 12 hadi Julai 13 baada
Kocha wa Brazil, Luiz Felipe Scolari', Leo kutangaza Kikosi chake cha
awali cha Wachezaji 23.Pamoja na hao wawili pia hawamo Mkongwe Ronaldinho na Winga wa PSG, Lucas Moura.Wachezaji
...
Subscribe to:
Posts (Atom)