By Aidan Charlie Seif
FC Barcelona leo wanakutana na Ajax fc ya Uholanzi katika
mechi ya ligi ya mabingwa wa ulaya – huku wakiwa wanataka kurudisha hali
yao ya ushindi baada ya kupoteza mechi yao iliyopita dhidi ya Paris
Saint-Germain.
De Boer – Cocu na Enrique wakati walipokuwa wakiicheza FC Barcelona
Mechi hii inawakutanisha watu ambao falsafa za mchezo wa zinafanana –
makocha wa timu...
Tuesday, October 21, 2014



Mwanariadha
wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya
kupatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya mauaji bila ya kukusudia.
Jaji aliyetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa, alianza kutoa kauli yake
ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni
changamoto kubwa kwake...


Mahabiki wa timu ya Simba
Mashabiki wa timu ya Yanga
Mechi ya
Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na
Simba iliyochezwa juzi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es
Salaam imeingiza sh. 427,271,000.
Washabiki
49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa
sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia...



Mkurugenzi wa Lino International Agency
ambao ni Waandaaji wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania, Hashim
Lundenga (kati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya
sakata la umri halali wa Mrembo alietwaa taji hilo Mwaka huu, Sitti
Abbas Mtemvu (kushoto),katika mkutano huo Lundenga alitolea ufafanuzi
swala la umri wa Mrembo...


Kipindi
cha Pili Man United walianza kwa kumtoa Ander Herrera na kumwingiza
Marouane Fellaini ambae aliwapa manufaa makubwa kwa kusawazisha kwa Bao
safi katika Dakika ya 48 na hilo ni Bao lake la kwanza kwa Man United
katika Ligi.Lakini
udhaifu wa Difensi ya Man United, wakati wakiwa wanatawala Gemu,
uliwapa WBA mwanya mkubwa kupiga Bao la Pili Dakika ya 66 kupitia Saido
Berahino.Man
...


Na Faustine Ruta, Bukoba
Mh.Mbunge
wa Jimbo la Bukoba VijijiniJason Rweikiza ameendelea na Ziara katika
Jimbo lake lenye kata 39 kuunga mkono tamko la Rais Jakaya Mrisho
Kikwete la kujenga Maabara katika kila Kata kwa ajili ya Wanafunzi wa
Masomo ya Sayansi. Mh. Rweikiza anaendesha Mwenyewe Helkopta akisaidiana
na Rubani mwenzake amesema kutokana na Muda kubana imebidi atumie
usafiri...
Subscribe to:
Posts (Atom)