Friday, May 9, 2014

  Ni abiria zaidi ya 50 walionusurika kwenye hii ajali ya basi la Dar Express lililokua likitokea Dar es salaam kwenda Nairobi leo May 9 2014 ambapo lilipofika Msata karibu na daraja la Wami lilipata ajali baada ya kupasuka tairi la mbele kushoto na kisha kupindu...
LIONEL Messi amechukizwa na tabia ya vyombo vya habari kuzungumzia hatima yake katika klabu ya Barcelona na kusisitiza kuwa hawatachia taji la La Liga msimu huu. Tetesi zilizoenea katika vyombo vya habari nchini Hispania zinasema kuwa nyota huyo raia wa Argentina anaweza kuondoka Camp Nou. Messi aliyeshinda mataji sita ya La Liga na matatu ya UEFA amesisitiza kuwa ana furaha...
Staa wa Number One aliyejinyakulia tuzo saba (7) katika Kilimanjaro Tanzania Music Awards wikiendi iliyopita, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kwa sasa anawania tuzo za MTV katika vipengele viwili Best Collaboration akimshirikisa msanii Davido kutoka Nigeria katika wimbo wa Number One Remix na Best Male...
Goalkeepers: Julio Cesar (Toronto FC, on loan from QPR), Jefferson (Botafogo), Victor (Atletico Mineiro) Defenders: Dani Alves (Barcelona), Maicon (Roma), David Luiz (Chelsea), Thiago Silva (PSG), Dante (Bayern Munich), Marcelo (Real Madrid), Henrique (Napoli), Maxwell (PSG). Midfield: Oscar (Chelsea), Fernandinho (Man City), Willian (Chelsea), Paulinho (Spurs), Ramires (Chelsea),...

waliotembelea blog