Ni
abiria zaidi ya 50 walionusurika kwenye hii ajali ya basi la Dar
Express lililokua likitokea Dar es salaam kwenda Nairobi leo May 9 2014
ambapo lilipofika Msata karibu na daraja la Wami lilipata ajali baada ya
kupasuka tairi la mbele kushoto na kisha kupindu...
Friday, May 9, 2014


LIONEL
Messi amechukizwa na tabia ya vyombo vya habari kuzungumzia hatima yake
katika klabu ya Barcelona na kusisitiza kuwa hawatachia taji la La Liga
msimu huu.
Tetesi zilizoenea katika vyombo vya habari nchini Hispania zinasema kuwa nyota huyo raia wa Argentina anaweza kuondoka Camp Nou.
Messi aliyeshinda mataji sita ya La Liga na matatu ya UEFA
amesisitiza kuwa ana furaha...



Staa wa Number One aliyejinyakulia tuzo saba (7) katika Kilimanjaro Tanzania Music Awards wikiendi iliyopita, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kwa sasa anawania tuzo za MTV katika vipengele viwili Best Collaboration akimshirikisa msanii Davido kutoka Nigeria katika wimbo wa Number One Remix na Best Male...



Goalkeepers: Julio Cesar (Toronto FC, on loan from QPR), Jefferson (Botafogo), Victor (Atletico Mineiro)
Defenders:
Dani Alves (Barcelona), Maicon (Roma), David Luiz (Chelsea), Thiago
Silva (PSG), Dante (Bayern Munich), Marcelo (Real Madrid), Henrique
(Napoli), Maxwell (PSG).
Midfield:
Oscar (Chelsea), Fernandinho (Man City), Willian (Chelsea), Paulinho
(Spurs), Ramires (Chelsea),...
Subscribe to:
Posts (Atom)