Thursday, January 7, 2016

Bado saa zinasogea na kila mpenda soka macho na akili yake kaelekeza Abuja Nigeria kusubiri nini kitatokea, Mbwana Samatta atafanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika anayecheza Ligi ya ndani? lakinia vipi kwa upande wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa jumla nani atatwaa...

waliotembelea blog