Drogba alisaidia Nchi yake katika upatanishi baada ya mgogoro wa kisiasa
Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu kutoka katika soka ya kimataifa. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36, alichezea Ivory Coast zaidi ya mara miamoja. Alishiriki kombe la dunia mara tatu na mashindano ya kombe la Afrika mara 2 Amesema kuwa anajivunia kusaidia nchi yake kufika katika nafasi...
Saturday, August 9, 2014


Meneja
Bidhaa wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo (kushoto) akizungumza na
waandishi wa habari jijini Mwanza leo wakati uzinduzi wa tamasha la
muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi
kesho katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kulia ni Mmoja wa
waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu
inadhaminiwa na kampuni ya Bia...



Majembe ya kazi: Manahodha
wa Barcelona kutoka kushoto Sergio Busquets, Lionel Messi, Xavi na Andres
Iniesta
KIUNGO mkongwe, Xavi Hernandez ameteuliwa kuwa
Nahodha mpya wa wazee wa Katalunya, FC Barcelona kuanzia msimu ujao.
Kitambaa cha unahodha wa Barca kimeachwa wazi na
beki Carles Puyol aliyestaafu soka mwishoni mwa msimu uliopita na kura
zikapigwa kumpata atakayerithi mikoba...


Mwaka mgumu: Phil Neville alisema msimu uliopita ulikuwa wa majanga kwa Manchester United chini ya David Moyes.
Imechapishwa Agosti 9, 2014, saa 1:50 asubuhi
PHIL Neville amekiri kuwa kumteua David Moyes kuifundisha Manchester United lilikuwa janga kubwa.
Neville, ambaye aliteuliwa na Moyes kuwa
kocha msaidizi namba moja msimu uliopita alisema: 'Wote tulitakiwa
kuwajibika,...


Bondia
Thomasi Mashali kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Mada
Maugo wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana Maugo
alishinda kwa point
Bondia Said Memba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Khalid Chokoraa wakati wa mpambano wao uliofanyika jana Chokoraa alishinda kwa point picha na
Bondia Khalid...


TAMASHA
la Usiku wa Matumaini, Dar (Dar Night of Hope 2014) lililofanyika jana
kwenye Uwanja wa Taifa, Dar lilikuwa ni full msisimko kutokana na
matukio mbalimbali yaliyofanyika.
Staa
kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade akipiga shoo usiku huu katika Tamasha
la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Makamu
wa Rais Mh. Mohamed Gharib Bilali akisalimiana...


Mgeni rasmi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal akitoa hotuba.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Global Publishers Ltd ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la
Usiku wa Matumaini 2014, Eric Shigongo naye akitoa neno la matumaini kwa
maelfu ya Watanzania waliofurika Uwanja wa Taifa, Dar.
Mgeni rasmi Dk....



Mkurugenzi
Mtendaji wa Clouds Media Group,Bwa.Joseph Kusaga a.k.a Joe sambamba na
Mkurugenzi wa kampuni bingwa ya Burudani hapa nchini,Prime Time
Promotions ,Bi Juhayna Kusaga ambao ndio waandaaji wa Tamasha la
Serengeti Fiesta 2014 wakiwa na Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia
ya Serengeti (SBL),Bwa.Ephraim Mafuru ambao ndio wadhamini wakuu wa
tamasha...


Mbunge wa
Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua
jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa
mabao 3-2 dhidi ya Simba leo.
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa Yanga.
Mwigulu Nchemba akiwarushia skafu yake...
Subscribe to:
Posts (Atom)