Kitendo cha Chadema kutetea viti vyake vinne vya udiwani kwenye uchaguzi
mdogo wa juzi, kimetafsiriwa kwamba ni kumfanya Meya wa Jiji la Arusha,
Gaudence Lyimo kukalia kuti kavu..bofya hapa kupata habari kamili...
Tuesday, July 16, 2013



Maelfu
ya watu walifika hospitali binafsi ya uzazi kwenye jiji la Kotaworo eneo
la Bida, iliyopo jimbo la Niger jana Jumapili, kwa lengo la kwenda
kumshuhudia mtoto wa kike aliyezaliwa akiwa amevaa rozari ya Kiislamu
(Tasbihi) shingoni mwake.
Inaelezwa
kwamba mama wa mtoto huyo ambaye ana miaka ya kati, Adijat, alikimbizwa
hospitali karibu na nyumbani kwa Pa Mohammed...
Subscribe to:
Posts (Atom)