Manchester
United wametoa Taarifa kuhusu Uhamisho ulioshindikana Dakika za mwisho
kwa Kipa wao David De Gea kuhamia Real Madrid baada ya kulaumiwa na
kukana kabisa kuwa si kosa lao. Mapema
Leo Real Madrid walitoa Taarifa yenye Vipengele 10 wakiwashutumu Man
United kwa kuchelewesha Uhamisho hadi Dirisha la Uhamisho kufungwa huko
Spain. Kutokana na hilo, De Gea anabaki Mchezaji wa Man...
Tuesday, September 1, 2015



KINDA
wa umri wa miaka 19, Anthony Martial amekamilisha uhamisho wa Pauni
Milioni 36 kujiunga na Manchester United kutoka Monaco katika dili
ambalo dau linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 58.
Mchezaji
huyo wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 ya Ufaransa amesaini
Mkataba wa miaka minne katika siku ya leo ya mwisho ya usajili.
Aliwasili...


Timu
ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuondoka nchini kesho
usiku kuelekea nchini Congo-Brazzavile kwenye michuano ya Michezo ya
Afrika (All Africa Games) inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 3,
mwaka huu. Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa TFF, Twiga Stars
haikuondoka leo kuelekea nchini Congo – Brazzavile, Shirikisho bado
linasubiri...



Kaimu
Mku wa Wilaya ya Msalala, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani
Shinyanga, Benson Mpesya, Meneja Mkuu Mgodi wa Dhahabu Bulyanhulu, BGML,
Michelle Ash, (katikati) na Mkurugenzi wa Maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya
Msalala, wakipapu maji wakati wa uzinduzi rasmi wa kisima kirefu cha maji
kilichojengwa kwa ufadhili wa kampuni hiyo huko Bugarama. BGML, inayomilikiwa
na...



Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa
amembeba motto, Mohamed Mchokonole wakati akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika
kwenye uwanja wa Mpilipili mkoani Lindi.
Kikundi cha Kwaya ya Tujikomboe kikitumbuiza wakati wa mkutano wa kamapeni uliofanyikakatika uwanja wa Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi.
Mgombea
mwenza wa Umoja wa Katiba...



Mgombea
wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa
Masasi kwenye uwanja wa Bomani ambapo aliwaambia kama atapewa ridhaa na
wananchi hao ya kuiongoza Tanzania basi atahakikisha utendaji, ufanisi
katika kuleta maendeleo nchini unaongezeka ikiwa pamoja na kuhakikisha
kila mwananchi anapata haki ya msingi.
Wakazi
wa Masasi wakiwa...


Klabu ya soka ya Chelsea imefunga dirisha la usajili msimu huu kwani, kwa Uingereza dirisha la usajili lilikuwa limefungwe jioni ya Septemba 1 wakati kwa upande wa Hispania na Ufaransa wao dirisha la usajili lilifungwa usiku wa August 31.
Chelsea imemalizia usajili wake kwa kumsajili beki kutoka...


Klabu ya Manchester United ya Uingereza ipo karibuni kumsajili mshambuliaji chipukizi kutokea Monaco ya Ufaransa, licha ya kuwa bado haijathibitika kuwa wamemsajili ila tayari Anthony Martial ameripotiwa kufanya vipimo vya afya katika klabu ya Manchester United.
Anthony Martial anaripotiwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)