Rooney akiwa kwenye patashika za kukabana na mchezaji wa Southampton Steven Davis kwenye Uwanja wa Saint Mary usiku huu.Robin van Persie aliwapachikia bao mapema dakika ya 12 baada ya kuwatoka mabeki wa Southampton.
4:13 AM
Unknown
Rooney akiwa kwenye patashika za kukabana na mchezaji wa Southampton Steven Davis kwenye Uwanja wa Saint Mary usiku huu.
4:11 AM
Unknown
4:11 AM
Unknown






4:10 AM
Unknown
Gaston Sapula ndie aliyeanza kufunguka!
Gaston sapula akiwaburudisha kwa nyimbo za dini Mashabiki!
Gaston Sapula na Vijana wake wakitoa Burudani
Wimbo wake wa Mbuyu ulianza kama mchicha ukishika kasi! Vijana na Bosi wao wakiendesha!!
Usipime!! Gaston Sapula na Vijana wake wakifanya yao kwenye Fainali ya kusoma Biblia Bukoba leo jumapili.
Enock Joel.
Mtoto
Martha Godfrey ambaye alishinda Sh Milioni moja kwenye Fainali ya
kusoma Biblia ambapo yeye alitoa somo lake kutoka Kumbukumbu la Torati
4:1-10
Jonathan Kasika
Neema Jackson
Neema
Masembejo, Jonathan kasika, Martha Godfrey, Enock Joel na Neema Jackson
wote walitinga hatua ya fainali hiyo na Martha mwenye umri wa miaka 8
akaibuka kidedea katika shindano hilo la kusoma biblia huku kila mmoja
akisoma somo ambalo lilikuwa halifanani na mwingine mstari wa kwanza
mpaka wa kumi. Picha na Faustine Ruta, Bukoba. Watoto hao walifanya
vyema sana katika Usomaji wa Biblia na ikiwa ni mara yao ya kwanza
katika shindano hilo.
Muimbaji
maarufu wa nyimbo za injili Boniface Mwaitege (Bony) akiimba nyimbo
kwa hisia mbele ya mashabiki wake kwenye Uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini
kwenye Fanali za Biblia leo Jumapili.
Henry Mwaibambe(RPC) alimtuza Ndugu yake Bony Mwaitege
Mbunge
wa Bukoba Mjini "Swahiba" Mh. Khamis kagasheki akimtuza Bony Mwaitege
Uwanjani kaitaba baada ya kuburudishwa na mwimbaji huyo nyota wa Nyimbo
za kumsifu Mungu.
Hatarii tupu!
Muimbaji maarufu wa nyimbo za injili Boniface Mwaitege akifanya yake na Madancer wake
Mratibu Joys Roboz hakupimika alipokuwa!!
Mashabiki waliingia kwa Wingi
Mashabiki wakimtuza Bony Mwaitege.
Furaha kwa Mashabiki'
Kwa
Umahiri mkubwa wa Msanii wa Nyimbo za Injili Bony Mwaitege aliweza
kujizolea sifa kutoka kwa Mashabiki wake baada ya kuimba Wimbo wake
Mpya.
Bony Mwaitege akifungua zawadi aliyopewa na Shabiki mbele ya umati!
"Live Bila Chenga" Mwimbaji Bony Mwaitege akiendeleza zoezi la kupata senene!!
Mashabiki Jukwaa kuu wakiangalia zoezi la kula Senene likiendelea kushika kasi wakati wa Fainali za Biblia.
Kwa swala zima la Dini hata babu alitinga uwanjani kushuhudia Vijana wakiwajibika kutoa Neno
Mambo ya Bukoba haya!!!
Aaah!! Kumbe tamueee!!
Karibu!! Gaston Sapula(kushoto) na Bony wakishikamana kwa zoezi zima la kuchangamkia zawadi waliyopewa ya Senene!
Mbunge wa Bukoba Mjini Balozi Khamis kagasheki(kulia) akiwa meza kuu ambapo yeye alikuwa mgeni rasmi.
Viongoz mbalimbali wa Dini walijitokeza katika fainali za Kusoma Biblia zilizofanyika kwa mara ya kwanza hapa Bukoba.
Mratibu
wa Shindano hilo Joyce Roboz akifurahia baada ya kukunwa na nyimbo
mbalimbali kutoka kwa wasanii hao wakali kutoka jijini dar es Salaam.
shindano hilo liliandaliwa na ikiwa ni Ubunifu wake mwenyewe Joyce Roboz
na kufankiwa kuchukua sura mpya hapa Bukoba na kuwafanya baadhi ya
Wananchi kutoamini jambo hilo kama linaweza kufanyika.
Zungusha!!! Muimbaji maarufu wa nyimbo za injili Boniface Mwaitege akitimua vumbi!!
Muimbaji wa nyimbo za injili Boniface Mwaitege akicheza na Vijana wake.
Bony Mwaitege alimtuza mwimbaji mwenzake wa injili ose Muhando.
Rose Muhando nae aliingia kwa salamu salamu za Kiface book!!
Rose Muhando akiendelea kutoa burudani kwa Wakaazi wa Bukoba waliohudhuria Shindano hilo kwenye Uwanja wa kaitaba.
Nani zaidi???
Watatu ndani ya kaitaba!!
Rose Muhando akicheza na Shabiki wake
Rose Muhando na Vijana wake wakitawala sehemu yao!
RSS Feed
Twitter