MANCHESTER
UNITED wameendelea kugawa dozi mfululizo baada ya leo tena kuichapa bao
2-1 timu ya Watakatifu Southampton kwenye Uwanja wao wa Saint Mary. Bao
za United zilifungwa zote na Mshambuliaji wao Matata Robin Van Persie.
bao la kwanza lilifungwa dakika ya 12 kipindi cha kwanza baada ya
kuwatoka Mabeki wa Southampton na kufunga bao hilo. Nao Southampton
waliongeza mashambulizi kipindi...
Tuesday, December 9, 2014


Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake
Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya
miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver
Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake
kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania,
Picha na Vijimabo Blog Mzuka...



Idris akishangilia kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi wa BBA Hotshots
Kijana mtanashati kutoka Tanzania, Idris
Sultan amefanikiwa kuipeperusha vyema bendera ya nchi yake kwa
kutawazwa kuwa mshindi wa shindano la Big Brother Hotshots lililofikia
tamati yake usiku wa jana(Nov 7) nchini Afrika kusini baada ya kukaa
mjengoni kwa takribani siku 63 ambazo ni sawa na miezi miwili pasipo...


Mtoto wa Miaka 8, Martha Godfrey amejinyakulia kitita cha Tsh Milioni
Moja leo baada ya kuwabwaga wenzake watano walioingia tano bora katika
Shindano la kusoma Biblia hapa Mkoani Kagera. Shindano lililokuwa
likishindaniwa na watoto walio Chini ya Umri wa Miaka 15 ambalo
lilishirikisha Wilaya mbalimbali za hapa Mkoani Kagera. Wilaya
zilizoshiriki ni Muleba, karagwe na Misenyi na katika...
Subscribe to:
Posts (Atom)