
Navy
SEAL ni kikosi maalumu cha askari wa Marekani ambacho hutumwa
kutekeleza oparesheni maalumu ikiwemo kuwakamata watuhumiwa maalumu wa
kimataifa ambao wamekuwa wakitafutwa kwa muda mrefu.
NAIROBI, Kenya
Imebainika kwamba mtu aliyekuwa akitafutwa na kikosi maalumu cha Navy
SEAL mwishoni mwa wiki ni raia wa Kenya ambaye alipanga kuvamia ofisi za
Bunge na ofisi za Makao...