Friday, July 24, 2015

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil, Andrey Coutinho akishuka kwenye basi la Yanga muda mfupi uliopita tayari kwa mechi ya saa 10:00 dhidi ya KMKM ya Zanzibar Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (mbele) na Haruna Niyonzima (nyuma yake) wakielekea vyumba vya kubadilishia nguo tayari kwa kipute cha Kombe la Kagame dhidi ya KMKM Joseph Zuttah kushoto anaanzia benchi leo ...
Zaidi ya saa 48 zimepita toka habari kuhusu uhusiano mbaya kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo na kocha wa Real Madrid Rafael Benitez zianze kuchukua headlines, na kuna ishu ambayo imekuwa ikiandikwa pia kwamba Ronaldo hana furaha Madrid na huenda akarejea Man United. Hata hivyo Manchester...
International Champions Cup bado inaendelea Australia kwa timu tatu kushiriki ambazo ni Manchester City kutokea Uingereza, Real Madrid ya Hispania na AS Roma ya Italia… Michuano imeandaliwa na kampuni ya Audi, ambapo July 21 2015 Man City ilicheza na AS Roma ya Italia katika uwanja  wa Melbourne Cricket Ground na Man City kushinda...
Pique kushoto akiwa na kombe la NBA, Harrison Barnes katikati akiwa na kombe la URFA na Busquet kulia akiwa na mpira wa Basketball Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA… Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea...
Uliwahi kufikiria kuna beach zinajengwa ndani ya majengo?  katika nchi nyingi zilizoendelea hilo ni jambo la kawaida kuwepo kwa fukwe za kupumzika ndani ya majengo makubwa. Fukwe ya ndani inayoongoza kwa ukubwa zaidi duniani, inapatikana Ujerumani..ukubwa wake ni sawa na viwanja nane vya mpira wa miguu Krausnick Indoor Beach, kutoka Ujerumani. Indoor Rainforest...

waliotembelea blog